Jinsi power bank ilivonipea utelezi

Jinsi power bank ilivonipea utelezi

DR SANTOS

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2019
Posts
12,846
Reaction score
28,106
Ilikua ni safari ndefu sana ya kutoboa mikoa kibao kutoka mbeya hadi mwanza. Hua naombea at least nikae na Binti mzuri mrembo kuifanya safari iwe fupi.

It was quite boring, na nilikua disappointed baada ya kuona mzee mmoja ndiye amekaa pembeni yangu. Nikaona isiwe kesi Wacha safari ianze tumefika kituo kingine akapanda Binti mmoja pisi kweli kweli alisogea hadi tulipokaa huku akisoma ticket yake mara mbili asiamini kwamba mzee amekaa kwenye sit yake.

"Eti samahani kaka hii si ndo sit namba j2?" Nikamjibu nadhani maana mimi yangu ni j1. Basi yule mzee ikabidi aangalie vema tiketi yake zote zilisomeja j2 hivyo baada ya kumwelewesha konda yule mzee Kwa busara alikubali kubadili seat😁😁

Apo moyoni nikasema ewaaa mambo SI ndo haya. "Samahan kaka naomba nikae siti yako ya dirishani". Akiongea nami nikaona Haina noma mbona aikatai. Nikampisha akakaa.

Ila toka alivokaa Binti ni hasemi chochote, mda ote anaongea tu na simu🤣🤣
Simu yenyewe iphone six plain ambazo ni tunazijua zile ni pasi zenyen logo ya epo. Kutoka mbeya mpaka mafinga simu tayari Ina 30% akaanza kujisemesha semesha. Simu zingine bana yaani haikai chajii Wala Nini🤣🤣
Apo mimi namchora tu

Nikamjibu "iphone ni pasi " afu nikacheka. Hebu nipate lunch ntakuja kumalizia
 
Basi baada ya kucheka huku kimoyo moyo nikiombe iishe kabisa na maombi yalijibiwa,kufika iringa simu imeshazima🤣🤣🚮
Nikaona poa, at least atakua na muda na mimi tutaongeaa kidogo.
Badala ya kuongea naona mtu amesinzia
🤔Nikasema kimoyo moyo hii pisi sio charming ata kidogo.
Tumefika dodoma gari lilisimama kwa dakika chache ambapo ulikua ni wasaha wa kuchimba dawa na kupata lunch.
Lakini Cha ajabu naona mtu hainuki afu anapiga mihayo ya kufa mtu kama papa mwenye njaa.
Nikaona haipendezi nimeshuka na kubeba chips kuku mbili Moja yangu Moja kwaajili ya Binti.
Nilipofika na kumkaribisha alishukuru sana mpaka nikahisi huyu Binti hakua na pesa
Ni kweli alikua Hana cash na alikiri kwamba kweli pesa zilikua kwenye simu ila alikua anaona aibu kuniomba simu aweke chip yake ili afanye miamala.
Nikacheka🤣🤣

Nikamwambia hakuna haja, nitakupa power bank.
 
Basi baada ya kucheka huku kimoyo moyo nikiombe iishe kabisa na maombi yalijibiwa,kufika iringa simu imeshazima[emoji1787][emoji1787][emoji706]
Nikaona poa, at least atakua na muda na mimi tutaongeaa kidogo.
Badala ya kuongea naona mtu amesinzia
[emoji848]Nikasema kimoyo moyo hii pisi sio charming ata kidogo.
Tumefika dodoma gari lilisimama kwa dakika chache ambapo ulikua ni wasaha wa kuchimba dawa na kupata lunch.
Lakini Cha ajabu naona mtu hainuki afu anapiga mihayo ya kufa mtu kama papa mwenye njaa.
Nikaona haipendezi nimeshuka na kubeba chips kuku mbili Moja yangu Moja kwaajili ya Binti.
Nilipofika na kumkaribisha alishukuru sana mpaka nikahisi huyu Binti hakua na pesa
Ni kweli alikua Hana cash na alikiri kwamba kweli pesa zilikua kwenye simu ila alikua anaona aibu kuniomba simu aweke chip yake ili afanye miamala.
Nikacheka[emoji1787][emoji1787]

Nikamwambia hakuna haja, nitakupa power bank.
Wewe si umeambiwa usirudi?

Kwanini una kichwa kigumu kuelewa.
 
Huo ndo ukawa mwanzo wa mazungumzo, na safari yangu ilianzia hapo maana Binti alikua anacheka cheka tu, kitu hara akichekeshi😃😃
Mara singida hii apa mara tabora mda ukawa umekwenda sana abiria tuliambiwa safari itaanza saa 11 alfajiri hivyo wenye kulala kwenye gari haya na wenye kulala guest house haya.
Option ilikua ni kwenda guest house.
Kiukweli Binti alikua mtulivu aliniskiza Kila ninachoongea tulienda ku book room na tukalala😁😁
Sema mtoto mtundu yule😍😋😋
Alafu papuchi yake kama champagne ukitikisa tu imooo😋😋
Nikamuuliza anakwenda mwanza kuifanya nn?
Akanambia anaenda kuripoti chuo Cha sauti.
Nikasema freshii hata mimi Nimeomba likizo naenda vacation nitakupa hapo Kwa wiki nzima nikizurura hapa na pale.
Akasema poa kama atafanikiwa ishu zake za kuripoti chuo tutakuja pamoja Kwa Hilo week😋😋
Nikamwambia freshii.
asubuhi tukapeana Cha asubuhi na kurudi kwenye gari.
Stori za hapa na pale mpaka tukafika mwanza tukatafuta room per week
binti akaripoti chuo , nili enjoy kampani yake sana😋😋😋
Mpaka Leo ndiye shemeji yenu
 
Back
Top Bottom