Jinsi power bank ilivonipea utelezi

Aisee mna watoto wangapi sasa!?
Badili kichwa cha habari andika Jinsi nilivyokutana na mke wangu. Alafu unainvite wengine wafunguke pia jinsi walivyokutana na wenza wao
 

Kaka kuna gono sikuiz limepamba moto nakushauri acha kula vyakula vya kuokota njiani
 
Nipo makini Sanaa baada ya kukutana nacho
Ila nakupa tahadhar kwa wengine
 
Mpaka Leo ndiye shemeji yenu
Hivi ulikuja kumuoa yule dada? Tulikuwa wote hiyo safari. Nilikuwa siti ya mbele yenu nawasikiliza mnavychombezana. Halafu namfahamu sana yule dada, changu sana yule mtoto, yaani hakuwa mvivu kabisaa kutoa. Chips dume tu anakupa, wala hukuwa na haja ya kununua kuku!

Natumaini hutazaa mtoto akaiga tabia za mama yake
 
Hivi kumbe wewe ndo yule mzee ulokaa kwenye siti ya shemeji yako?πŸ€”
Asante sana, maana bila wewe na busara zako nisingepata mkeπŸ™πŸ™πŸ€£πŸ€£
 
Wewe si umeambiwa usirudi?

Kwanini una kichwa kigumu kuelewa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji2223][emoji870][emoji870][emoji870][emoji870]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…