Jinsi power bank ilivonipea utelezi

Akili yangu inagoma kabisa kuiamini hii Paragraph..

• Mbeya Mwanza mlilala njiani, ilikuwa mwaka Gani??

• umejua Mwanza anaenda Chuo baada ya kupiga show? Hukumuuliza muda wote ule

Tatu na Mwisho tunashukuru kwa CHAI
 
Mkumbushe pia kwamba,
Mwanamke yyt akishakupenda on the first sight lazima awe cheap TU maana atakua Hajiamini, anakuskiliza TU unaburuza km ling'ombe asibishane na ww akakukosa[emoji4]
Hajui mbinu za kivita
 
Basi baada ya kucheka huku kimoyo moyo nikiombe iishe kabisa na maombi yalijibiwa,kufika iringa simu imeshazima🤣🤣🚮
Ila wewe Mkuu Santos kamba sana. Basi za Mbeya - Mwanza hata siku moja hazipiti Iringa, Singida sijui, zinakatisha hii njia ya kupitia Chunya! Hapo ndipo katika story za James Hardley Chase unakuta mtu anakamatwa!
 


Usirudi
 
Akili yangu inagoma kabisa kuiamini hii Paragraph..

• Mbeya Mwanza mlilala njiani, ilikuwa mwaka Gani??

• umejua Mwanza anaenda Chuo baada ya kupiga show? Hukumuuliza muda wote ule

Tatu na Mwisho tunashukuru kwa CHAI
Chai ya mdalasini tamu kweli [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ila wewe Mkuu Santos kamba sana. Basi za Mbeya - Mwanza hata siku moja hazipiti Iringa, Singida sijui, zinakatisha hii njia ya kupitia Chunya! Hapo ndipo katika story za James Hardley Chase unakuta mtu anakamatwa!
Zipo zinazopita huko na zipo zinazopita Iringa mkuu
 
Binti ni hasemi chochote, mda ote anaongea tu na simu🤣🤣
Simu yenyewe iphone six plain
Kanafunzi ka MUST slogan yao kwanza ugumu, kuoga hadi siku ya test, chupi kufua hadi awe na UE!

Kuna utelezi na utelezi mchafu.....hapo bob umekutana na utelelezi mchafu!!!
 
Zipo zinazopita huko na zipo zinazopita Iringa mkuu
Labda siku hizi, lakini sidhani. Unajua sio rahisi abiria apande njia ndefu ya kuzunguka wakati kuna basi inapita njia ya mkato. Halafu kipande kisicho na lami ni kidogo sana kwenye njia ya mkato. Hivyo safari inakuwa fupi sana. Basi ikipita Dodoma, by the time iko Dodoma hi ya mkato inatafuta Tabora. Sasa kwa nini watu wazungukie Dodoma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…