Jinsi Premature Ejaculation inavyonitesa

Duuu!

Kulombana ni Sanaa masta unaweza mfikisha mwanamke kunako kwa maneno na miguso ya hapa na pale. Kwa kusema hayo naomba ujifinze Sanaa hiyo kwanza kipindi unatafuta sulihisho la tatizo lako mama.

Kuhusu kuwahi kufika mshindo:
Jambo hili hisababishwa na vitu viwili vikibwa ambavyo ni akili au misuli.

Akili: hapa unatakiwa kujiamini na kujikubali kua unaweza kulombana vizuri, hii hupelekea ubongo kua mwepesi na kutokuhitaji zaidi damu nyingi kutekeleza majukumu yake na kusababisha damu nyingi kupelekea chini kwenye machine kwa ajili ya shughuli yenyewe ya kulombana.

Misuli: hapa hakikisha kua machine inasimama vizuri, kama haisimami vizuri Anza kufanya mazoezi, kula protein kwa wingi na maji pia.

Jambo la mwisho nakushauri usijariku kutumia dawa za kuongeza nguvu maana sio salama kiafya.
 
Kutoa goli la kwanza wakati wa foreplay hii sijui kama nitaweza.
Labda nivute hisia(si inakuwa kama napiga nyeto )
Tofauti na hapo nitafanya foreplay 30min , bila kumwaga.
Ila nitajaribu.
 
Hivi mtu mwenye Dm, anakuwa na PE au ED? Au vyote.
Mwenye changamoto ya Dm aitomaticaly anakuwa na uwezo mdogo wa kufanya jambo hilo,kwa hiyo yeye kukojoa mapema kabla inaweza kuwa kawaida,Lakini pia kama tatizo la sukari litakuwa kubwa bila kutibiwa anaweza kupoteza kabisa uwezo wa kusimamisha.Kwa hiyo anaweza kukumbwa na mambo yote mawili kutegemeana na condition aliyonayo
 
kwa wiki mnakutana mara ngap?
Huyu demu kwa wiki ni kama mara moja tuu.
Ila kwa ufupi ndio tumeeanza mahusiano tuna mwezi, tumekutana mara tatu.

Kabla ya hapo ninaweza kukaa hata miezi(5,3,2) bila kukutana na mwanamke.
Sio kwamba sina hamu ila nakuwa sina demu tuu.
 
Duuh,
 
Huyu demu kwa wiki ni kama mara moja tuu.
Ila kwa ufupi ndio tumeeanza mahusiano tuna mwezi, tumekutana mara tatu.

Kabla ya hapo ninaweza kukaa hata miezi(5,3,2) bila kukutana na mwanamke.
Sio kwamba sina hamu ila nakuwa sina demu tuu.
jitahidi ukae nae mwez mzima, na umtindue kila cku,, baada ya mwez utashangaa dk zitaanza kuongezeka

alafu leta mrejesho
 
Nataka kujua kwanza kama ulizaliwa njiti ili nikupe tiba
 
Jamaa acheki na demu mwingine. Ulichosema kipo kweli kwa asilimia 100. Kuna wanawake ukiwa nao unaweza twanga hata nusu saa hushushi ila kuna ambao unakuta tu hata hzo 7mnt hufiki ushashusha japo la 2
Kabisa mkuu, mpaka unaweza kujishtukia eh leo imekuaje mbona namaliza haraka hvy wakat kwa demu mwngn namnyoosha vzr tuu
 
Kutoa goli la kwanza wakati wa foreplay hii sijui kama nitaweza.
Labda nivute hisia(si inakuwa kama napiga nyeto )
Tofauti na hapo nitafanya foreplay 30min , bila kumwaga.
Ila nitajaribu.
Kwa hilo tatizo lako, ukikutana na wanaojua kufanya hizo foreplay umekawia sana maybe 7 minutes unakuwa umeshashusha Wazungu

Niliwahi kudate mdada mbobezi wa hiyo mambo, halafu alikuwa na mtindo wa kuzimeza.

Kama hamna ratiba ya kuongeza watoto, unaweza kutamani Kila Siku awe anakupea Kwa njia hiyo tu 😜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…