Jinsi Premature Ejaculation inavyonitesa

Kumbe nyeto haiathiri wote, nadhani inategemea na wingi wa upigaji, upige kila siku x 2 au tatu alafu usidhurike?
Inawezekana kabisa, subiri watu waje na shuhuda zao hapa.

Sio kila mtu anaathirika na nyeto jombaa.
Mnaipiga vita as if mtu akipiga kimoja kwa wiki ataambiwa acha nyeto, inafanya uume uweje sijui kitu ambacho wala sio kweli.
 
Hapo kwenye kilo hapo. Mwanaume average ni kilo 70. Ingia jimu beba vyuma. Kula kuku walau ufike 65.
 
Hauna shida yeyote mkuu , kama una hisia kali za huyo msichana lazima wazungu waje kushangilia mapema ,na pia kuna mademu wengine wapo fresh ukipiga mzigo wazungu wakija kuna stykle wanafanya kitu inastuka kwa ndani na unaunga hapo unaenda si chini ya 40mins ila ni nadra kutokea.

Wahuni wanapaka mkongo ili kuondoa hisia kupiga marathans.

Watu wanadanganywa kwenye movie za ngono mtu anapiga lisaa bila kujua kwamba ni scene ya kuungwa ungwa ambayo inaweza kuwa imeectiwa kwa siku hata 10 kupata clip ya dakika 45 ,sasa na wewe pasipo kujua unaweza ukafikiri ni siku hiyo hiyo moja.

Kama ushajijua wazungu wanatoka mapema jitahidi foreplay.
 
YAani imefikia natamni nitumie hata sildenafil(ila naogopa nisije pata heart complication) ili nirudishe heshima kwa huyu demu, maana kanidharau sana.
Tumia tu bro. side effect ni ndogo na ni kawaida sana
 
Madhara ya kujichua hayo.

nenda hospitali. Muone daktari. Kun vi[pimo watajuwa tatizo ni nini na wakupe tiba ipi.

Inaweza kusababishwa na mengi sana, magonjwa ya zinaa vile vile husababisha.
 
Madhara ya kujichua hayo.

nenda hospitali. Muone daktari. Kun vi[pimo watajuwa tatizo ni nini na wakupe tiba ipi.

Inaweza kusababishwa na mengi sana, magonjwa ya zinaa vile vile husababisha.
Unauhakika gani juu ya nyeto, usimhukumu kwa hilo.
 
miaka 30 halaf una kilo 59? hili nalo mkalitazame
 
Mkuu hivi huwaga mnatumia mbinu gani kuunga bao hebu lete madini kidogo kuna jamaa mmoja niliona mahali anasema yeye anaweza unga hata round 4 ile ya nne ndo mashine inaweza kulala. Sasa kuna techniques zipi huwa mnatumia au ni mmebarikiwa tu
 
mpanzu kama mpanzu
 
Pole sana mwamba

I can feel your pain aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…