Jinsi Project ya Mbingu mpya na Nchi mpya itakavyotengenezwa na itakavyofanikiwa

Jinsi Project ya Mbingu mpya na Nchi mpya itakavyotengenezwa na itakavyofanikiwa

Hii ni kamba Kwa watu wajinga wasiopenda kushuhurisha bongo zao timamu wapate maarifa mapya,
Hebu subiri project ya
Artificial intelligence (AI)
Ya Elon musk
Ikamilike vizuri halafu uone maajabu yake jinsi Gani unafanya kazi,wewe umekalia ubishi hapa
Wakati watu wanaenda kuunganisha mfumo wa ubongo na computer mtu ukiwa na gari lako la kisasa unaweza kuliwasha Kwa kutoa rock na password Kwa kufikiria tu gari inawaka yenyewe Kwa kusensor kama Bluetooth vile,Hii Dunia wanaume wapo kazini acha sisi tuendelee kubishana hapa nyuma ya keyboard!
[emoji16][emoji16]
Mkuu nshaanza kuamini umechanganyikiwa.
 
ndio umuulize huyo dogo kivipi nimechanganyikiwa
Nadhani kijana ashaanza kudata niliposema Kuna project ya kuunganisha ubongo na mfumo wa computer anastaajabu na kuniona wazimu,wakati project ishaisha hiyo na soon itaanza kufanya kazi chini ya Binadamu mtata na mwenye uthubutu
Elon Musk!
😁😁😁😁
 
ndio umuulize huyo dogo kivipi nimechanganyikiwa
Nadhani kijana ashaanza kudata niliposema Kuna project ya kuunganisha ubongo na mfumo wa computer anastaajabu na kuniona wazimu,wakati project ishaisha hiyo na soon itaanza kufanya kazi chini ya Binadamu mtata na mwenye uthubutu
Elon Musk!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Mkuu usihangaike na watu kama hawa ambao hawajui nini kinaendelea duniani.
 
Bibilia inasema kila kinavhoanzishwa na mwanadamu hakitadumu.. Ova
 
Anaongelea miujiza ambayo haipo na haitakuwepo.
hahaahaaa daaaaa Wewe jamaa hebu amka usingizini Hivi unaishi Dunia Gani ambayo hujui Inaendeshwaje Aisee,
ACHA ubishi bwana mdogo Nenda field kasome Aisee hiyo project ya kuunganisha ubongo na mfumo wa computer washaimaliza kitambo tu Bado utekelezaji Hivi unajua
Project ya
Artificial intelligence (AI)
Inavyo aply hakika ukiona project za Elon musk utapigwa na butwaa na kujiona umechelewa sana kujua!
 
ndio umuulize huyo dogo kivipi nimechanganyikiwa
Nadhani kijana ashaanza kudata niliposema Kuna project ya kuunganisha ubongo na mfumo wa computer anastaajabu na kuniona wazimu,wakati project ishaisha hiyo na soon itaanza kufanya kazi chini ya Binadamu mtata na mwenye uthubutu
Elon Musk!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hayo yote ni maono yake tuu na hayatatimia kamwe
 
Back
Top Bottom