Mkuu nshaanza kuamini umechanganyikiwa.Hii ni kamba Kwa watu wajinga wasiopenda kushuhurisha bongo zao timamu wapate maarifa mapya,
Hebu subiri project ya
Artificial intelligence (AI)
Ya Elon musk
Ikamilike vizuri halafu uone maajabu yake jinsi Gani unafanya kazi,wewe umekalia ubishi hapa
Wakati watu wanaenda kuunganisha mfumo wa ubongo na computer mtu ukiwa na gari lako la kisasa unaweza kuliwasha Kwa kutoa rock na password Kwa kufikiria tu gari inawaka yenyewe Kwa kusensor kama Bluetooth vile,Hii Dunia wanaume wapo kazini acha sisi tuendelee kubishana hapa nyuma ya keyboard!
[emoji16][emoji16]
Kivipi?Mkuu nshaanza kuamini umechanganyikiwa.
Anaongelea miujiza ambayo haipo na haitakuwepo.Kivipi?
ndio umuulize huyo dogo kivipi nimechanganyikiwaKivipi?
Umejuaje kama haiwezekani?.Unajua tangu Adam na Hawa binadamu amepiga hatua kiasi gani?.Anaongelea miujiza ambayo haipo na haitakuwepo.
Acheni kumkufuru MunguUmejuaje kama haiwezekani?.Unajua tangu Adam na Hawa binadamu amepiga hatua kiasi gani?.
Mkuu usihangaike na watu kama hawa ambao hawajui nini kinaendelea duniani.ndio umuulize huyo dogo kivipi nimechanganyikiwa
Nadhani kijana ashaanza kudata niliposema Kuna project ya kuunganisha ubongo na mfumo wa computer anastaajabu na kuniona wazimu,wakati project ishaisha hiyo na soon itaanza kufanya kazi chini ya Binadamu mtata na mwenye uthubutu
Elon Musk!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Wewe hujui hata Mungu ni kitu gani.Acheni kumkufuru Mungu
hahaahaaa daaaaa Wewe jamaa hebu amka usingizini Hivi unaishi Dunia Gani ambayo hujui Inaendeshwaje Aisee,Anaongelea miujiza ambayo haipo na haitakuwepo.
Hayo yote ni maono yake tuu na hayatatimia kamwendio umuulize huyo dogo kivipi nimechanganyikiwa
Nadhani kijana ashaanza kudata niliposema Kuna project ya kuunganisha ubongo na mfumo wa computer anastaajabu na kuniona wazimu,wakati project ishaisha hiyo na soon itaanza kufanya kazi chini ya Binadamu mtata na mwenye uthubutu
Elon Musk!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Kitu gani kitadumuBibilia inasema kila kinavhoanzishwa na mwanadamu hakitadumu.. Ova
Vile alivyoviumba Mungu pekee ndo vitakavyo dumuKitu gani kitadumu
Hapo ulipo unatumia internet unafikiri imekujaje?.Hayo yote ni maono yake tuu na hayatatimia kamwe
Kama nini?Vile alivyoviumba Mungu pekee ndo vitakavyo dumu
Hii inamwisho wake mkuu.Hapo ulipo unatumia internet unafikiri imekujaje?.
Mawe, milima etcKama nini?
Binadamu je?,au yeye hajatengenezwa na Mungu?,hujawahi ona milima inaporomoshwa?Mawe, milima etc
What if aliyeandika bible alikuwa kaweka fumbo ili wenye akili wajue. Survival of the smartest.Futa hilo neno Mbingu.
Mars ni sayari sio Mbingu.
Good thinking mkuu.Watu wengi hawatumii akili kabisa.What if aliyeandika bible alikuwa kaweka fumbo ili wenye akili wajue. Survival of the smartest.