Jinsi Project ya Mbingu mpya na Nchi mpya itakavyotengenezwa na itakavyofanikiwa

Mkuu nshaanza kuamini umechanganyikiwa.
 
ndio umuulize huyo dogo kivipi nimechanganyikiwa
Nadhani kijana ashaanza kudata niliposema Kuna project ya kuunganisha ubongo na mfumo wa computer anastaajabu na kuniona wazimu,wakati project ishaisha hiyo na soon itaanza kufanya kazi chini ya Binadamu mtata na mwenye uthubutu
Elon Musk!
😁😁😁😁
 
Mkuu usihangaike na watu kama hawa ambao hawajui nini kinaendelea duniani.
 
Bibilia inasema kila kinavhoanzishwa na mwanadamu hakitadumu.. Ova
 
Anaongelea miujiza ambayo haipo na haitakuwepo.
hahaahaaa daaaaa Wewe jamaa hebu amka usingizini Hivi unaishi Dunia Gani ambayo hujui Inaendeshwaje Aisee,
ACHA ubishi bwana mdogo Nenda field kasome Aisee hiyo project ya kuunganisha ubongo na mfumo wa computer washaimaliza kitambo tu Bado utekelezaji Hivi unajua
Project ya
Artificial intelligence (AI)
Inavyo aply hakika ukiona project za Elon musk utapigwa na butwaa na kujiona umechelewa sana kujua!
 
Hayo yote ni maono yake tuu na hayatatimia kamwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…