Jinsi Project ya Mbingu mpya na Nchi mpya itakavyotengenezwa na itakavyofanikiwa

Unasema???

 
Wanajua the secret behind, ni mwendawazimu tu anayeweza kusema wanapoteza muda.
Hatari sana Mkuu jamaa amejitoa sadaka kumwaga pesa mingi mno kisa huo uchunguzi haita wezekana pesa yake iende Bure kama tuwajuavyo hua hafanyi vitu Kwa hasara hata siku Moja Hawa jamaa,wanajua Nini wanafanya!
 
"ceteris paribus".....other things being equal
 
Hizi theori mnazitoaga vitabu gani??
 
Mimi kama mwanasayansi ninayefanya kazi hapa norway idara ya cloning kitengo cha laboratory technology nimesoma yote uliyoyaandika na kuwaonesha maexprt wenzang tumecheka kwa saut sana......full stupidity
 
Huo ni ukweli mchungu mkuu ingawa wapo watakaopinga . Kwa namna sayansi ya tiba inavyo develop, siyo ajabu miaka 1,000 au 10,000 ijayo kifo kikawa historia
 
Kwakweli watu wana mipango ya mbali kweli,,ata kama yeye atakufa ilimradi lengo lake alitmize ili Na atakaekuja nae pia aliendeleze
 
tutambue kuwa siyo kila kitu wazungu wamefanya exposed.vingi wameficha na hata kama wewe umesoma sana ni professor huwezi kuelewa.
mambo mengi ni siri sana wengi tunajua in basic only.siri nyingi ( codes) zimefichwa
 
tutambue kuwa siyo kila kitu wazungu wamefanya exposed.vingi wameficha na hata kama wewe umesoma sana ni professor huwezi kuelewa.
mambo mengi ni siri sana wengi tunajua in basic only.siri nyingi ( codes) zimefichwa
Ni kweli mkuu vitu vingi vipo katika code na Siri na hapa tunajaribu kufanya imagination ya namna Mambo yanayoendelea huko duniani ili angalau tu tushare idea zetu Kwa ndugu zetu wasiojua dunia inaendeshwaje!
 
Mimi kama mwanasayansi ninayefanya kazi hapa norway idara ya cloning kitengo cha laboratory technology nimesoma yote uliyoyaandika na kuwaonesha maexprt wenzang tumecheka kwa saut sana......full stupidity
Sawa mwanasansi wa cloning hapo Norway nashukuru Kwa kuutambua ustupidity wangu,ingekua busara ungetueleza kinagaubaga kutoka hapo maabara ili kila mtu hapa ajifunze maana tupo gizani
Huo ndio usomi wenye tija Kwa jamii!
Karibu!
 
Tuna vichaa wengi huku mtaani bongo kazi hakuna ndio sababu wamebaki na conspiracy theories wakilala wakiamka wanazidi kuwa vichaa tu,,sure mkuu full stupidity Kabisa hutu tuvijana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…