Jinsi Project ya Mbingu mpya na Nchi mpya itakavyotengenezwa na itakavyofanikiwa

Amna kitu yoyote Apo mnatishana tu nakuogopeshana kindezi .. wew ishi muamini mungu fanya kazi uishi Maisha yako ufe kifo chako utulie .. izo hatari majanga yalikuepo toka enzi na enzi dunia ilianza kua namajanga toka enzi za sodoma na gomora enzi za akina NUHU ndo ijekua leo .. dunia ilikuwa na watawala wakutisha wanejishi wakutisha wachawi wakutisha but walipita kivyao ..

Nawew cheza segere lako fanya madudu yako nenda Mars kaishi handaa empire yako ila tambua utapita tu kama walivyo pita wengine .. wew soma vitabu adi vyakichawi .. akuna kitu yoyote utafanya chakutisha Zaid ya ambavyo vilishatokea ..

Pamoja na uwepo wa SHETANI MAPEPO MAJINI Bado dunia ipo tu Sasa wew mwanadamu wakuishi miaka 60 unadanja ndo utafanya Nini Cha ajabu ..
 
Mkuu kuuliza sio ujinga. Ila kwakuwa umesema niende Google, acha niende nikatafute source mwenyewe.
 
Soma mwenyewe ulichokiandika naona chenga chenga tu Hueleweki!
 
Mambo yanatokea duniani kwa sasa kuna vitabu ukisoma vinashangaza sana lkn ndio.mipango yao kuna jamaa anaitwa wilbur smith na wengineo wanaandika kuhusu New world au new world order vitabu hv vina.maandalizi ya mambo ya ajabu sana lkn kikubwa ni mambo ya kishetani kbsa yasiyo mpendeza Mungu yani yani huko tunakoenda uhai unaenda kushikiliwa na watu wakiminya tu sehem basi popote uliko unakufa kipindi cha kusema ukweli ni kama kujitakia Kifo ndio tunachokiendea.
 
We nenda nae taratibu tu usitumie lugha kali utampoteza kabsaa
 
Bila source ya hii habari yako hatutaelewana. Mkuu amka kwenye huo usingizi wa pono haraka.
kuna cartoon moja nimeona hicho anachokisema jamaa. Ila katika uhalisia sifikirii kama inawezekana kabisa.
 
kuna cartoon moja nimeona hicho anachokisema jamaa. Ila katika uhalisia sifikirii kama inawezekana kabisa.
Bwashee endelea kunywa mbege na kuangalia mechi za Simba na yanga baaasi!
Huna uelewa wowote ule Juu ya mambo yanayoendelea duniani
Sikutukani ila nakuambia ukweli

Miaka ya 2000 ungemwambia mtu kutakuja kua na Simu ambazo ukipiga unamuona unayepigia angekuona una wazimu na kitu ambacho hakiwezekani ila Leo tunajionea uhalisia
Endelea kubisha utakuja shtuka watu ndio wanahama duniani na kuanzisha makazi mapya mars

Endelea kuamini haiwezekani ukidhania na wao wapo Shithole Kama wewe!
 
Mimi nakubaliana na hili Kwa sababu MELI YA TITANIC ilinipa mwanga hasa ukisoma hisoria yake , jinsi ilivyobuniwa kutengenezwa,idadi ya Vifo wakati inatengenezwa ,funga KAZI gharama za kupanda yaan VIP ndyoo maana Matajiri hawakufa wengi
 
sawa kijana endelea kupiga stori kijiwe kimepoa.
 
Kabla ya yote amini Mungu yupo na kwamba akili zake hazichunguziki! Hii dunia ameiumba kwa uwezo wake na iko siku ataikunja kama karatasi na kuichoma moto! Hizo theory zengine ni kuchoshana tu
[emoji1787][emoji1787] utapona tu ndugu yangu
 
[emoji28] hako kaujanja ka kutishia watu kifo mnakapenda. Kwa taarifa yako kitu chochote ambacho mtu anakawambia utaona baada ya kufa ni uongo mtupu
 
Kabla ya yote amini Mungu yupo na kwamba akili zake hazichunguziki! Hii dunia ameiumba kwa uwezo wake na iko siku ataikunja kama karatasi na kuichoma moto! Hizo theory zengine ni kuchoshana tu
Hao wenyewe walio kuletea dini wamesha achana nayo,imebaki kama utamaduni tu Science ndio mpango mzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…