Jinsi Project ya Mbingu mpya na Nchi mpya itakavyotengenezwa na itakavyofanikiwa

Jinsi Project ya Mbingu mpya na Nchi mpya itakavyotengenezwa na itakavyofanikiwa

kufa ni constant hata iweje ni lazima kufa kuwepo maisha tofauti na ulimwengu huu hayawezekaniki kwa binadamu labda kutembea tu huko Mars
Kama kufa ni constant kwanini sisi tunashughulika na kifo wenzetu maisha?.
Usiseme tu kuishi Mars haiwezekani,babu yako aliekufa miaka ya 50 ungemwambia inawezekana kuwasilisha kwa Zoom kwa mtu aliyeko Australia angekuamini?
 
Kama kufa ni constant kwanini sisi tunashughulika na kifo wenzetu maisha?.
Usiseme tu kuishi Mars haiwezekani,babu yako aliekufa miaka ya 50 ungemwambia inawezekana kuwasilisha kwa Zoom kwa mtu aliyeko Australia angekuamini?
Hiyo tekinilojia ya mawasiliano kamwe usifananishe na maisha ya kuishi sayari tofauti na hii! Ni sawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano
 
Man... hichi ulichoandika hapa kuhusu hiyo Future ume-probe tuu au unazo valid refferences..??

Hii issue ya Vita... mara watu kwenda Mars sijui kujenga makazi mapya then wang'ang'anie kirudi tena Duniani wewe umeitoa wapi...??
 
DNA inachukuliwa kutoka kwenye mabaki yake ili kuliproduce mwili tena.
[emoji23][emoji23] Bro... seriously..?? Kwa Tech gani..??

Sikia... kitu kimoja kikipotea kwenye Mwili wa mtu basi huyo kwisha habari yake.... na hicho ni "Counsciousness"... lakini mbaya zaidi huwezi kuihamisha kutoka One body kwenda another body... haiwezekani kabisa. DNA zinabeba taarifa ya utendaji kazi wa Mwili tuu kiasi seli ikizaliwa inajua majukumu yake ni yapi.. ila hapo kutumia DNA kuzalisha kiumbe kilekile kilichokufa ni impossible.
 
endelea na akili zako za usiku Huyo Mungu unaesema yupo walimtengeneza wao na wakakuletea na wamekukaririsha na kukujaza upepo na umejaa
Fuuuuuu Nenda kawaulize hao waliokuambia Kuna Mungu uone Kama wao wanaamini yupo!
Kiufupi Bado hujaijua Dunia inavyoendeshwa ndugu yangu,
Huyo Mungu aliyeko na unaemuwaza kwenye akili zako hayupo na ambaye yupo hayupo na hafanyi hayo mambo ambayo wewe umekaririshwa anafanya na unajitesa kwayo,
Dini,Imani na masalia ya yake ni programing project iliyoandaliwa Kwa usahihi Sana Ili kuteka watu kisaikolojia kabla ya project kamili
Kama unabisha Leo usiniulize kwanini dini Zimeanza ibuka Karne ya 7 tu Tena AD na wakati Dunia Ina mamilion ya miaka hao watu wa nyuma waliishije?

Wake up dude,funguka akili be free utaujua ukweli ingawa itakua ngumu Sana kukuamsha uamke!
Hakika umenena kweli tupu,big up
 
Mzuka wanajamvi wa JT na great thinkers natumaini mpo powa na tunaendelea kusurvive chini ya jua,
Husika na kichwa habari hapo juu,
Kwanza nipende kutoa onyo na tahadhari Kwa kundi Fulani Hivi la brain washed wakae Mbali na hii thread sababu itakua nje ya uwezo wao,ili tujadili mahaba ya Dini tuweke pembeni tuwe free kujadili mambo magumu na yenye ukweli mchungu ambao raia wengi hawaupendi
Ila Haina namna!
Nitaagusia kifupi sana hasa Kwa wavivu kusoma!

1.MBINGU MPYA
Wakuu Binadamu na watu wa Civilization hii wanapiga hatua kubwa kimaendeleo sayansi na teknolojia tunaona projects nyingi zinavumbuliwa Kila kukicha yaani tunaenda spidi ya kimbunga kwenye gunduzi kiasi kwamba tumefika level za kuprint watu,
Hapa namaanisha watoto wanafyatuliwa maabara nk,
Sasa Kuna hii project ya kufanya majaribio kwenye sayari ya Mars na kinara wa hiyo kazi ni ndugu Elon Musk na kampuni yake ya space x na tunaona jinsi inavyofanikiwa kwa Kasi ni kama ndoto za alinacha ila ndio hivyo inaenda kua kweli,
Baada ya hapo huko yataenda kujengwa makazi ya kisasa na raia grade one wataanza ishi huko na kuibadilisha sayari ya vumbi jekundu na miamba kua paradise,
Imagine jinsi lile jangwa la Dubai Miaka 20 iliyopita lilivyogeuzwa Jiji kubwa na lenye madhari ya kuvutia kiasi kwamba Leo mlugaluga akifika pale na kumwambia hapa palikua jangwa na eneo baya lisilifaa binadamu mwenye akili timamu kuweka makazi ataeweza akuzibue konzi Kwa ujuha wako unaomwambia maana aonacho ni maghorofa makubwa na mabustani mazuri ya kuvutia.

Sasa basi baada ya raia wa grade one kuhamishia makazi sayari ya Mars na
Kujenga mithili ya masimulizi ya Mbingu watu wa grade la chini Kama sisi huku Afrika tutaenda kutengeneza Hadith ya Mbingu mpya maana tutakua hatuna uwezo wa kufika huko sehemu yenye ustaarabu mkubwa na maisha ya Raha za ajabu pasipo dhiki maana huko Kila kitu kitaendeshwa Kwa ujuzi wa Hali ya juu kutokana na kukua Kwa science and technology Kwa kiwango Juu Cha mno!


Dunia itabaki sehemu ya mkakati maalumu na watakao Baki wale useless hakuna kitu watafanya zaidi ya kuleta shida kubwa na kuanza kufanya maasi wao Kwa wao na hakuna mtu atajali kuhusu hizo vurugu maana Kila kitu kitajiendea hovyo kutakua hakuna uongozi wa kidunia Kama ilivyo Leo UN na mataifa ya kuiongoza Dunia Ili ikalike hapo Kila mjuaji atafanya ajuavyo na Dunia itaharibika kabisa kwa uharibifu mkuu,
Ila kuna maeneo ya kimkakati yatatunzwa vizuri for future use
Baada ya yote hayo itapendekezwa raia wa Duniani wapunguzwe kabisa Kwa mbinu mbadala wabaki guardian wa kuitunza dunia na nature yake na itakua baadae salama na ni sehemu ya kutalii tu Tena Kwa gharama kubwa watu wakitoka mars huko wataona wamechoshwa na kuishi kwenye miji ya ajabu ya huko angani wakivutiwa na hali ya duniani.

2.NCHI MPYA
Baada ya sayari ya mars na wakazi wake kuchoshwa kuishi kwenye artificial Planet watatamani Sasa warudi kuishi duniani baada ya miaka mingi kupita,vuguvugu za Exodus zitaanza na wanaharakatj wengi watajitokeza kupigania kuirudia nchi mpya ya mababu zao na hapo utaandaliwa mpango maalumu wa kurejea wenye masharti magumu maana Dunia itakua Tena Kama bustani nzuri Sana na ya kuvutia na watakao kurudi watatakiwa kukidhi vigezo maalumu maana ni sehemu yenye uasili na Kwa gharama kubwa watakao kidhi vigezo watarudi na kuishi kwenye Asili Yao Kwa Raha Sana maana Dunia itakua pepo milele na hakuna shida Tena Kwa sababu watakua wamefanikiwa kubalance nature.

Yajayo yanafurahisha hii Dunia watu wanakaa Wana program namna ya kuiendesha ila sababu sisi huku tunakula makande na kuwaza ngono
Haya mambo yanakua Kama masimulizi ya Alfu lela ulela,
Ila sishangai maana ukirudi miaka 1500's na umwambie Vasco da Gama kwamba kutoka Portugal to India tunatumia masaa tu kufika anaweza kukushut Kwa revolver yake Kwa porojo zako ila uhalisia tunaujua!
Tuwe tayari Kwa mabadiliko muda wowote Dunia inaenda Kasi Sana!

The Terrible!
Itawezekana lakini ni mpaka pale kutakapo kuwepo na "one world government".
 
Hao microbes wanaitwa hyperthermophile microbes.
hyperthermohile hao wanaishi kwe extreme temperatures, kuna wale wanaishi kwe extreme radiations wale ndo kuna uwezekano wa kuwapo mars maana mars kuna kiwango kikubwa sn cha radiations, hawa bacteria wamewahi kutwa kule chernobyl ukraine lilipotokeaga janga la kinu cha nuclear kuzingua ila wao walikuwepo wanaenjoy life km kawa
 
Hakika umenena kweli tupu,big up
Watu mnajua sana kuliwazana,sasa ni hivi,Binadamu afanye atakachokifanya ila atambue tu "KILA NAFSI ITAONJA UMAUTI",Hzo mission za sijui kuishi milele au sijui kupunguza watu mara kwenda kuishi angani,aisee hzo ni juhudi tu za binadamu kuukwepa ukweli halisi kwamba ipo siku atakata kauli atafukiwa chini ya udongo na baada ya muda atasahaulika kbs kama alikuwepo.

Mtoa mada wewe endelea kutazama movie sana maana unaonekana upo addicted sn na finctions ila tambua tu huyo aliyetuleta kupitia shahawa na yai la mama anasema Hakuna kinachopumua kikabaki hapa duniani,Kila kilichoumbwa kitakufa na kwake tutarejea ili tuambiwe yote tuliyokuwa tukiyafanya.Kuishi milele duniani au mars haipo kwenye mpango wa Muumbaji.

Haya maendeleo ya technology yapo na hatukatai ila ile kanuni ya binadamu kuonja umauti iko pale pale mkuu wala usijiliwaze kupitia akina Elon msk na hzo movie zako,ziko mission mzungu atafanikiwa ila kuna mission zitabaki hivyohivyo kuwa mission hazitafanikiwa kabisa ikiwemo hiyo ishu ya kuishi milele duniani au ktk sayar yyte hapa ulimwenguni.

Hzo ni juhudi tu za kibinadamu kwamba anataka afikie pale au iwe vile,Kufa ni lazima mzee wewe mwenyewe hapo huna hata uhakika wa kuwepo dakika 30 zijazo
 
Hakika umenena kweli tupu,big up
Watu mnajua sana kuliwazana,sasa ni hivi,Binadamu afanye atakachokifanya ila atambue tu "KILA NAFSI ITAONJA UMAUTI",Hzo mission za sijui kuishi milele au sijui kupunguza watu mara kwenda kuishi angani,aisee hzo ni juhudi tu za binadamu kuukwepa ukweli halisi kwamba ipo siku atakata kauli atafukiwa chini ya udongo na huku na baada ya muda atasahaulika kbs kama alikuwepo.

Mtoa mada wewe endelea kutazama movie sana maana unaonekana upo addicted sn na finctions ila tambua tu huyo aliyetuleta kupitia shahawa anasema Hakuna kinachopumua kikabaki hapa duniani,sote tutakufa na kwake tutarejea ili tuambiwe yote tuliyokuwa tukiyafanya.

Haya maendeleo ya technology yapo na hatukatai ila ile kanuni ya binadamu kuonja umauti iko pale pale mkuu wala usijiliwaze kupitia akina Elon msk na hzo movie,Hzo ni juhudi tu za kibinadamu kwamba anataka afikie pale au iwe vile,Kufa ni mzee wewe mwenyewe hapo huna hata uhakika wa kuwepo dakika 30 zijazo
 
Watu mnajua sana kuliwazana,sasa ni hivi,Binadamu afanye atakachokifanya ila atambue tu "KILA NAFSI ITAONJA UMAUTI",Hzo mission za sijui kuishi milele au sijui kupunguza watu mara kwenda kuishi angani, aisee hzo ni juhudi tu za binadamu kuukwepa ukweli halisi kwamba ipo siku atakata kauli atafukiwa chini ya udongo na huku na baada ya muda atasahaulika kbs kama alikuwepo.

Mtoa mada wewe endelea kutazama movie sana maana unaonekana upo addicted sn na finctions ila tambua tu huyo aliyetuleta kupitia shahawa anasema Hakuna kinachopumua kikabaki hapa duniani,sote tutakufa na kwake tutarejea ili tuambiwe yote tuliyokuwa tukiyafanya.

Haya maendeleo ya technology yapo na hatukatai ila ile kanuni ya binadamu kuonja umauti iko pale pale mkuu wala usijiliwaze kupitia akina Elon msk na hzo movie,Hzo ni juhudi tu za kibinadamu kwamba anataka afikie pale au iwe vile,Kufa ni mzee wewe mwenyewe hapo huna hata uhakika wa kuwepo dakika 30 zijazo
huo ni mtazamo wako tu, watu walioishi enzi za agano la kale ungewaambia kama binadamu atatengeneza chombo cha kumfikisha mwezini wangeona kama una ugonjwa wa akili, watu wa zamani walipoambiwa dunia ndo inazunguka jua na si kinyume chake jamii nzima ilipinga na jamaa akaambiwa anakufuru so we si wa kwanza kupinga nadharia kama hizi watu walishafanya enzi hizo kabla hata yesu hajazaliwa, uzuri hata saizi tunajadili haya mambo kupitia devices ambazo ni kazi za haohao wanasayansi ambao unapinga nadharia zao hahaha
 
huo ni mtazamo wako tu, watu walioishi enzi za agano la kale ungewaambia kama binadamu atatengeneza chombo cha kumfikisha mwezini wangeona kama una ugonjwa wa akili, watu wa zamani walipoambiwa dunia ndo inazunguka jua na si kinyume chake jamii nzima ilipinga na jamaa akaambiwa anakufuru so we si wa kwanza kupinga nadharia kama hizi watu walishafanya enzi hizo kabla hata yesu hajazaliwa, uzuri hata saizi tunajadili haya mambo kupitia devices ambazo ni kazi za haohao wanasayansi ambao unapinga nadharia zao hahaha
achana nae ana upeo mdogo Kama wale wafia Dini waliompiga Pini Galilei Galileo alipobuni darubini upeo na kugundua miezi nane ya sayari Jupiter na Dunia duara

Wale wapuuzi wakabisha mpaka wakamfungia Ndani asitoke nje et kakafuru na Kawa mwendawazimu,hao watu ndio Hawa Sasa wa kizazi kipya wenzao wapo project ya kutengeneza na kugundua vyombo vya kwenda anga za juu yeye kakaa kijiweni anakunywa Alkasus mujarab atengeneze nguvu za kiume!
 
huo ni mtazamo wako tu, watu walioishi enzi za agano la kale ungewaambia kama binadamu atatengeneza chombo cha kumfikisha mwezini wangeona kama una ugonjwa wa akili, watu wa zamani walipoambiwa dunia ndo inazunguka jua na si kinyume chake jamii nzima ilipinga na jamaa akaambiwa anakufuru so we si wa kwanza kupinga nadharia kama hizi watu walishafanya enzi hizo kabla hata yesu hajazaliwa, uzuri hata saizi tunajadili haya mambo kupitia devices ambazo ni kazi za haohao wanasayansi ambao unapinga nadharia zao hahaha
Sio kila nadharia za kisayansi zinatekelezeka we unaweza kuniambia na kuamini swala la time traveling ni kwajinsi gani linaweza kutekelezeka kwa 100%
 
Sio kila nadharia za kisayansi zinatekelezeka we unaweza kuniambia na kuamini swala la time traveling ni kwajinsi gani linaweza kutekelezeka kwa 100%
usidhani kitu kilicho nje ya upeo wako na unaona hakiwezekani kwako Kwa wengine pia kinawashinda broo unakosea Sana watu wapo site wanapiga field wewe upo nyuma ya keyboard unapiga soga!

What the difference!
 
Sio kila nadharia za kisayansi zinatekelezeka we unaweza kuniambia na kuamini swala la time traveling ni kwajinsi gani linaweza kutekelezeka kwa 100%
huyu mwamba ni vigumu kuelewa halafu anajikuta mjuaji utadhani yeye ndiye mfanya tafiti.
 
usidhani kitu kilicho nje ya upeo wako na unaona hakiwezekani kwako Kwa wengine pia kinawashinda broo unakosea Sana watu wapo site wanapiga field wewe upo nyuma ya keyboard unapiga soga!
What the difference!
Vipi kwa upeo wako wewe?
 
still hypothetical mkuu haijawahi kuwa proved km inaweza work, low gravity ni issue km unavyosema, kuna radiation issue lkn kuna issue ya ajali hii watu wanaioverlook sn, maana hizi artificial processes zitakazofanyika ili kutengeneza atmosphere zitakua zinahitaji maintance what if cku moja system zikafeli? na kulivyo mbali kule
Issue ya atmosphere itakuwa ni permanent. Hypothetically speaking, introduction ya microbial life forms kama algae na bacteria itasaidia ardhi ya mars kuretain joto hivyo kupasha atmosphere yake na kuifanya rafiki kwa wanadamu.

Lengo kitakuwa kutengeneza technology itakayo-speed up this process. So nadhani equipment failure kwa terra-forming itasababisha delay rather than fatalities mkuu.
 
Issue ya atmosphere itakuwa ni permanent. Hypothetically speaking, introduction ya microbial life forms kama algae na bacteria itasaidia ardhi ya mars kuretain joto hivyo kupasha atmosphere yake na kuifanya rafiki kwa wanadamu.

Lengo kitakuwa kutengeneza technology itakayo-speed up this process. So nadhani equipment failure kwa terra-forming itasababisha delay rather than fatalities mkuu.
Hali ya hiyo katika kusupport microbe huoni iko limited na itachangia low population kwa viumbe hao?
 
Back
Top Bottom