Jinsi Project ya Mbingu mpya na Nchi mpya itakavyotengenezwa na itakavyofanikiwa

Jinsi Project ya Mbingu mpya na Nchi mpya itakavyotengenezwa na itakavyofanikiwa

waendelee kujidanganya.
Duniani ndio mwisho wa KUISHI.
hakuna sayari itakayosapoti maisha zaidi ya dunia.
 
Kitu ninachoweza kukubaliana na wewe kwenye hili swala labda kama uta travel kwenda future basi iwe ni wewe ndo umetangulia kwa mfano uwe na uwezo wa kutoka hapa tz kwenda marekani kwa hiyo spidi ya mwanga kama ulishaangalia series ya flash basi ndo hicho kitu namaanisha lakini sio kwamba utatoka hapa ufike mwaka 2050 ukute jamii nyingine yenye maendeleo tofauti na iliyoyasasa.
hii time travel effect yake utaiona upale utapocompare na kinachoendelea kule ulipotoka na si huko uendako, kule unapoenda wao hawaez experience chochote kile ambacho umekiexperience ukilinganisha na kule ulikotoka
 
waendelee kujidanganya.
Duniani ndio mwisho wa KUISHI.
hakuna sayari itakayosapoti maisha zaidi ya dunia.
labda complex life mkuu but others like microbes watakuwepo tu mkuu, human life may be, lkn inafikirisha kdg km kuna mabilioni ya sayari huko space why complex life iwe dunian tu while kuna sayari zngine huko mbali zenye size sawa na yetu zipo?
 
labda complex life mkuu but others like microbes watakuwepo tu mkuu, human life may be, lkn inafikirisha kdg km kuna mabilioni ya sayari huko space why complex life iwe dunian tu while kuna sayari zngine huko mbali zenye size sawa na yetu zipo?
Kwani sisi ndo tulipanga tukae duniani au tumewekwa?
 
Kwani sisi ndo tulipanga tukae duniani au tumewekwa?
imetokea tu by chance dunia yetu ikawa na mazingira ambayo sayari nyingine yalimiss so ikawezekana kwa complex life kutokea hio ni kisayansi ila kiimani uko nako kuna stori yake ambayo wote tunafahamu
 
imetokea tu by chance dunia yetu ikawa na mazingira ambayo sayari nyingine yalimiss so ikawezekana kwa complex life kutokea hio ni kisayansi ila kiimani uko nako kuna stori yake ambayo wote tunafahamu
Na mungu mwenyewe ameshakataa kuwa hakuna uhai sehemu yeyote zaidi ya hapa duniani.
 
hizo after life ni porojo tu watu wenye akili zao wanafanya tafiti za kufa mtu Ili kuweza pandikiza seli kwenye miili ya watu Ili wawe immortal wewe unazungumzia kufa?
Hiyo ya kufa huko future itaenda kua masimulizi kwamba Kuna watu walikua wanakufa
Hahhahaa ni kama masikhara ila yajayo yanafurahisha!
siku utakaposkia elon musk mwenyewe amezima watu wako kwenye taratibu za mazishi utashangaa zaidi...
 
siku utakaposkia elon musk mwenyewe amezima watu wako kwenye taratibu za mazishi utashangaa zaidi...
Kwamba Elon Musk ni mkinga au mchaga akifa na project zake zinakufa?
Acha vituko basi Mwanasayansi Nikola Tesla alitoa idea na vumbuzi nyingi akaziacha kwenye makaratasi Leo Musk ndio anazifanyia kazi Kwa vitendo zaidi,
Hayo ya mwenye Mali kufa na biashara au urithi kufa nae ipo huku Dunia ya tatu tu Huko mbele hata haiwashtui boss kufa kampuni itabaki vile vile Miaka 💯
 
Kwamba Elon Musk ni mkinga au mchaga akifa na project zake zinakufa?
Acha vituko basi Mwanasayansi Nikola Tesla alitoa idea na vumbuzi nyingi akaziacha kwenye makaratasi Leo Musk ndio anazifanyia kazi Kwa vitendo zaidi,
Hayo ya mwenye Mali kufa na biashara au urithi kufa nae ipo huku Dunia ya tatu tu Huko mbele hata haiwashtui boss kufa kampuni itabaki vile vile Miaka 💯
nimemaanisha ulivyosema wanaproject za kupandikiza cell kwenye miili ya watu ili wawe immortal..
 
nimemaanisha ulivyosema wanaproject za kupandikiza cell kwenye miili ya watu ili wawe immortal..
jamaa hajiangalii yeye anafanya vitu Ili angalau vizazi vya baadae vifikie Hiyo hatua,yeye anaanzisha njia tu atakapoishia na wengine wataendeleza Kumbuka wenzetu wanafanya vitu for future sio kama sisi huku wanyaturu na wamatumbi na umimi wetu!
 
jamaa hajiangalii yeye anafanya vitu Ili angalau vizazi vya baadae vifikie Hiyo hatua,yeye anaanzisha njia tu atakapoishia na wengine wataendeleza Kumbuka wenzetu wanafanya vitu for future sio kama sisi huku wanyaturu na wamatumbi na umimi wetu!
mkuu hiyo ni impossible halafu usidhani eti sisi ndio tumefikia kilele cha teknolojia dhidi ya wenzetu waliotangulia kisa tuna smartphone mambo hayako hivyo mkuu wangu, wamepita wanaume huko nyuma na teknolojia ilikuwa katika kiwango cha juu kabisa na haikuwafanya waishi milele..
elon atapita na sisi tutapita na project zake za kuwezekana zitawezekana zisizowezekana kama hiyo unayoisema zitabakia kwenye makabrasha tu..

mind you, elimu ya mwanadamu iko limited sana hana anachojua..
 
Nachojua mimi japo sio kitaalam, au kisayansi, maisha nje ya sayari hii ya dunia haiwezekani. Na sababu ni moja tu. Jua.
Maisha kwenye sayari ya pili Venus toka umbali wa jua hayawezekani sababu kutakuwa na joto kali na hii inasababishwa na ukaribu wa hiyo sayari na jua.
Ukienda kufanya maisha kwenye sayari ya Mars napo hapawezekaniki sababu ni umbali toka jua mpaka kwenye hiyo sayari. Mionzi ya jua haifiki huko. Sehemu ambayo ina uhai ni hapa duniani. Ambapo mionzi ya jua inafika kama tunavyoona.
Hizo story za kuanza maisha nje ya dunia ni story za kufikirika.
 
Back
Top Bottom