Jinsi Putin alivyoibadilisha Urusi kuwa na nguvu ya kibabe ulimwenguni

Jinsi Putin alivyoibadilisha Urusi kuwa na nguvu ya kibabe ulimwenguni

Ni hivi Russia na USA wanajua kuchezea nchi nyingi Ili zinunue silaha zao mfano nakupa tu hapo Ukraine hakuna vita itatokea ila kutokana na pressure ya Russia tayari USA ameshasaini na mkataba na Poland kuwapa zana vita za USD 6B+ na bado nchi zingine, Kwa ufupi USA anafaidika na migogoro ya RUSSIA kuliko RUSSIA anvyofaidika kumbuka hao wanotengeneza migogoro ni Waisrael waliopo pande zote Mbili
Mapopama yaliyokunywa uyahudi ni kila jambo likifanyika sehem yenyew hujua ni israil kafanya
 
Russia ya sasa imerithi nguvu za kijeshi na silaha kwa kiasi kikubwa kutoka iliyokuwa Umoja wa Kisovieti (USSR). Ambayo ilikuwa na muunganiko wa mataifa mengine mengi kama Ukraine, Lithuania, Estonia, Belarus n.k.

USSR ilikuwa ni taifa lenye nguvu sana kijeshi na hata kiuchumi. Ilikuwa ni nchi ya pili kiuchumi duniani baada ya Marekani kabla ya mgogoro wa ndani na hatimaye kuvunjika kwa umoja huo miaka ya 80 mwishoni na miaka ya 90 mwanzoni.

Hapo kabla, USSR iliweza kufanya vumbuzi nyingi kwenye masuala ya teknolojia, hususani masuala ya anga za mbali, na katika masuala ya kivita.

Miongoni mwa vumbuzi zao wakati wa uwepo wa USSR:

1) Mfumo wa uongozaji (navigation) wa GLONASS

2) Satellites na roketi (Sputnik 1, Soyuz)

3) Bunduki maarufu sana duniani ya Kalashnikov (AK-47)

4) Ndege za kivita za MIG (Mikoyan na Gurevich)

Na kadhalika!

Urusi ya sasa yaweza kuwa tishio kijeshi lakini si katika masuala ya uchumi tofauti na ilivyokuwa USSR. Uchumi wa Urusi sasa hivi hauna utofauti sana na jimbo moja tu la nchi kama Marekani. Mfano, Texas.
 
Marekani siyo wajamaa, kwanini wanaongoza kwa kuwekeza kwenye silaha?
Ukiangali kwa percentage ya gdp ni ndogo, tofauti na russia ukiangalia ela anayotumia kwenye silaha na percentage ya gdp ni kubwa

Na marekani ana balance kipato Cha marekani mmoja ni kikubwa maradufu ya nchi kama Russia, nchi za kijamaa kama korea kaskazin vipato vya wananchi wao ni vidogo lakin nchi iko bize na nyuklia
 
Nikuulize, hivi wewe uliyepo hapo Chamazi ndio unajua umuhimu wa uchumi wa Urusi kuliko wao Wenyewe.

Hivi nchi kubwa vile hadi ilipofikia hapo kwamba hawajui wanachokifanya, then mtu wa gezaulole ndie anataka kuwashauri.

Huu ujuaji wetu nadhani tunaweza Kuwakosoa hata wanasayansi wa NASA wanavyotuma chombo Mars
Dah! Mchango wa kitaalam sana huu.
Hii nchi kumbe Ina hazina ya watu wenye uelewa mkubwa.kama wewe.
 
It is easier to make a Country Strong Millitarily. You Sacrisify Economic life of your Country by Pouring 60% of the Budget into Millitary Developments like North Korea. While people are Dying of hunger,the Communist Governments spend all the little money earned by hard working citizens on Millitary to defend their Regimes.
Ulishafika pongyang ukakuta wanakufa na njaa?
 
Ni hivi Russia na USA wanajua kuchezea nchi nyingi Ili zinunue silaha zao mfano nakupa tu hapo Ukraine hakuna vita itatokea ila kutokana na pressure ya Russia tayari USA ameshasaini na mkataba na Poland kuwapa zana vita za USD 6B+ na bado nchi zingine, Kwa ufupi USA anafaidika na migogoro ya RUSSIA kuliko RUSSIA anvyofaidika kumbuka hao wanotengeneza migogoro ni Waisrael waliopo pande zote Mbili
Aisee!
 
Putin hakuibadilisha Russia lakin ameikuta hivyo na nguvu zake, tangu enzi za Stalin mpaka Khrushchev alipotaka kuzipiga na USA enzi za Kennedy (soma Cuban missile crisis).
Amna mkuu.. Russia ili dicline after collapse of USSR .....

TOFAUTISHA. KATI YA USSR na RUSSIA
 
Putin hakuibadilisha Russia lakin ameikuta hivyo na nguvu zake, tangu enzi za Stalin mpaka Khrushchev alipotaka kuzipiga na USA enzi za Kennedy (soma Cuban missile crisis).
Amna mkuu.. Russia ili dicline after collapse of USSR .....

TOFAUTISHA. KATI YA USSR na RUSSIA
 
Back
Top Bottom