Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha porojo jibu swali, Russia ananunua silaha toka wapi?Russia ni nchi ingetakiwa iwe mbali sana Wana resources nyingi Ila ndo hivyo nchi za kijamaa zinawekeza sana kwenye silaha
Russia ni wapili kuwa viwanda vya silaha baada ya marekani
Mapopama yaliyokunywa uyahudi ni kila jambo likifanyika sehem yenyew hujua ni israil kafanyaNi hivi Russia na USA wanajua kuchezea nchi nyingi Ili zinunue silaha zao mfano nakupa tu hapo Ukraine hakuna vita itatokea ila kutokana na pressure ya Russia tayari USA ameshasaini na mkataba na Poland kuwapa zana vita za USD 6B+ na bado nchi zingine, Kwa ufupi USA anafaidika na migogoro ya RUSSIA kuliko RUSSIA anvyofaidika kumbuka hao wanotengeneza migogoro ni Waisrael waliopo pande zote Mbili
Oh sawa. Ni vzr kuandika chanzo cha habatiYaaaah mkuu....copied from bbc
Kutoka kwa watengenezajiMkuu unazan ....Russia atanunua silaha kutoka wap?
Jina halisaidii lolote wakati nchi ni ya wachoma mahindi 🌽Prestige mkuu.......nadhani unaona uzito wa jina la Vladimir Putin.....kuliko la biden
Marekani siyo wajamaa, kwanini wanaongoza kwa kuwekeza kwenye silaha?Russia ni nchi ingetakiwa iwe mbali sana Wana resources nyingi Ila ndo hivyo nchi za kijamaa zinawekeza sana kwenye silaha
Russia ni wapili kuwa viwanda vya silaha baada ya marekani
Ukiangali kwa percentage ya gdp ni ndogo, tofauti na russia ukiangalia ela anayotumia kwenye silaha na percentage ya gdp ni kubwaMarekani siyo wajamaa, kwanini wanaongoza kwa kuwekeza kwenye silaha?
Russia ananunua kutoka local manufactures, na anatengeneza kwa hiyo atakama anatengeneza Kuna gharama kubwa kuanzia kwenye research and development unafikiri ni bure acha ujingaAcha porojo jibu swali, Russia ananunua silaha toka wapi?
Hiyo ni moja ya dalili kwamba huyo uliemjibu hajui hata makala inazungumzia Nini,pia haijui siasa za kimataifa lakini kubwa zaidi amechangia kwa kuiga michango ya baadhi ya wachangiani humu.Mkuu unazan ....Russia atanunua silaha kutoka wap?
Dah! Mchango wa kitaalam sana huu.Nikuulize, hivi wewe uliyepo hapo Chamazi ndio unajua umuhimu wa uchumi wa Urusi kuliko wao Wenyewe.
Hivi nchi kubwa vile hadi ilipofikia hapo kwamba hawajui wanachokifanya, then mtu wa gezaulole ndie anataka kuwashauri.
Huu ujuaji wetu nadhani tunaweza Kuwakosoa hata wanasayansi wa NASA wanavyotuma chombo Mars
Ulishafika pongyang ukakuta wanakufa na njaa?It is easier to make a Country Strong Millitarily. You Sacrisify Economic life of your Country by Pouring 60% of the Budget into Millitary Developments like North Korea. While people are Dying of hunger,the Communist Governments spend all the little money earned by hard working citizens on Millitary to defend their Regimes.
Urusi moja inaandamwa na nchi karibu 30,na imezikalisha.Russia waoga sana mkwara kidogo tu wameufyata yamebaki maneno tu
Aisee!Ni hivi Russia na USA wanajua kuchezea nchi nyingi Ili zinunue silaha zao mfano nakupa tu hapo Ukraine hakuna vita itatokea ila kutokana na pressure ya Russia tayari USA ameshasaini na mkataba na Poland kuwapa zana vita za USD 6B+ na bado nchi zingine, Kwa ufupi USA anafaidika na migogoro ya RUSSIA kuliko RUSSIA anvyofaidika kumbuka hao wanotengeneza migogoro ni Waisrael waliopo pande zote Mbili
Ha ha haa,Yaani Urusi anunue silaha?
Kweli tunashida na elimu yetu.
Ni rahisi kwa marekani kununua siraha ila sio Urusi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wakifa na njaa hapana atakayesubutu kunyanyua mdomo wake. Anaweza kuishia kupigwa na lile zinga la kudungulia ndege.Ulishafika pongyang ukakuta wanakufa na njaa?
Amna mkuu.. Russia ili dicline after collapse of USSR .....Putin hakuibadilisha Russia lakin ameikuta hivyo na nguvu zake, tangu enzi za Stalin mpaka Khrushchev alipotaka kuzipiga na USA enzi za Kennedy (soma Cuban missile crisis).
Amna mkuu.. Russia ili dicline after collapse of USSR .....Putin hakuibadilisha Russia lakin ameikuta hivyo na nguvu zake, tangu enzi za Stalin mpaka Khrushchev alipotaka kuzipiga na USA enzi za Kennedy (soma Cuban missile crisis).