Jinsi Rais Samia alivyowapiga chenga ya mwili wapiga kelele wa mitandaoni kwenye teuzi

Nafikiri kwa sasa ile mihemuko yako ya kutaka kutafuta mabadiliko nje ya chama tawala itakuwa imetulia kidogo. Kwa sababu huchelewi kuja na uzi mwingine tena hapa jukwaani na kuanza kumlalamikia tena.

Atakuwa kafarijika na uwepo bado wa Chalamila.
 
Naomba kutofautishiwa kwa nafasi ya mkuu wa mkoa wanaposama "amestaafu na mwingine muda wake umeisha"
 
Huyu Veronica France ndo bingwa wa hizo nyuzi za kijinga jinga!
 
Heeeeee... Imeshaanza tena kumsifia mtu uliyeshinda week nzima ukimwanzishia nyuzi za kumponda
 
Una uhakika ni Covid? Au unahara prapraaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…