sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
P Funks anasemaje kwani 😀😀😀😀Wamependezea Sana!!!
Sifa za Harmonize;-👇👇
Ametoswa na Linah akatukanana na Maimartha wa Jesse, haziivi na Kajala, Sarah hataki hata kumuona Wolper kaamua azalishwe na Ching's
Njomba nchumali sifa nyingi mno.Wamependezea Sana!!!
Sifa za Harmonize;-👇👇
Ametoswa na Linah akatukanana na Maimartha wa Jesse, haziivi na Kajala, Sarah hataki hata kumuona Wolper kaamua azalishwe na Ching's
Na uncle Shamte awa ki ben tenWamependezea Sana!!!
Sifa za Harmonize;-👇👇
Ametoswa na Linah , akatukanana na maimartha wa Jesse, haziivi na Kajala, Sarah hataki hata kumuona , wolper kaamua azalishwe na Ching's😃
Never take anyone seriously in this platformWaswahili hamnaga kazi;
majobless wengi kweli Serekali iangalie jamani kijana kama huyu kwa ufinyu wa akili yake.
anafikiri wote wana akili kama yake
Pole sana.
Waliopatia uwa wanakuwaje?Huyu binti anapotea,naona ile kesi ishaisha,ila malipo hapa hapa ,aliyomfanyia Majani mzee Masanja sasa hivi yame mrudia yy.
Kila kitu kitamalizwa hapa hapa duniani.Huyu binti anapotea,naona ile kesi ishaisha,ila malipo hapa hapa ,aliyomfanyia Majani mzee Masanja sasa hivi yame mrudia yy.
Bado mbichiii huyo huoni hata kifua au kiuno kutanukaa sana bado na atatanuka vizuri kiuno sema tu mlaji awe anambegu nzuriiSema huyo mtoto Paula inaweza ikawa KM hazijasoma sana
Kusimamishaje?Ni post moja tu ya Rayvanny kwenye page yake ya IG ilitosha kuisimamisha nchi.
Sasa mambo hadharani Rayvanny na Paula ni kama Bonnie and Clyde.
Wapendanao wa kitaifa wameweka kila kitu hadharani ikiwa ni masaa machache tu yamepita tangu Paula amesaini dili NONO la kutangaza nywele.
Watu washakula tope rayvan hajakuta sealed koteBado mbichiii huyo huoni hata kifua au kiuno kutanukaa sana bado na atatanuka vizuri kiuno sema tu mlaji awe anambegu nzurii