Adilinanduguze2
JF-Expert Member
- Mar 11, 2014
- 1,386
- 1,919
IQ ya Kagame ni kubwa sana katika uongozi.
Anaihenyesha Kongo vibaya mnooo?!!!Tukubali tu kuwa kutoka kwenye mauaji ya kimbali ya 1994,Mr.Slim ameiweka Rwanda mahali pazuri.
Imepiga hatua kubwa!
Ofcourse bado saaanaAkukazae.
WellsaidAna akili kubwa kivipi ?
Kukosa succession plan maana yake yeye akifa nchi inarudi kwenye vurugu
Hao watoto wake anaowaandaa kushika madaraka watakuja kugeukwa na marafiki anaokula nao sasa
Nchi yake inastawi kwa gharama ya vurugu zinazoendelea DRC
Paul Kagame + Major General Salim Saleh + M7. = Wezi wakubwa ktk banana region
Kaka yule bado mdgo sana nakwambia bado mdgo enzi za kikwete alikua anahenya henya akiyekuja kuharbu mzee wa chato ndo alivuruga kila kitu kumuweka yule jamaa karbu ndo aliharbu kikwete akimuekea mipaka ika sie kwa sababu viongozi wetu walikua wanapeda kushindana na posti za twitter na insta tukamtuma sirro akijifunze rwanda sasa rwanda unajifunza nn. Nchi ina uchumi wa kwenye tv na kigali tu huko kwingine bado sana hujui kwamba ndo nchi ya mwisho duniani kwa umaskini iko top 5 kutoka chini ya rank za nchi maskin duniani ucpagawe na kigali ndugu yangu raia kule wana njaa hatariRafiki yangu tuweke utani pembeni speed anaye enda nayo Kagame unaweza kuja kukuta akawa na jeshi bora East Africa we tega masikio tu, tutaziona Jet fighter za Rwanda zina cheza viuno Dar es Salam
Mmeyaona mabus lakini 😄
Ana kakijana ndo anakaandaaHajaa andaa mtu hadi leo?
Umesema vizuri.... Mag alikuwa mbabe akajumuika na mwenzake ila LILIKUWA ni kosa sanaKaka yule bado mdgo sana nakwambia bado mdgo enzi za kikwete alikua anahenya henya akiyekuja kuharbu mzee wa chato ndo alivuruga kila kitu kumuweka yule jamaa karbu ndo aliharbu kikwete akimuekea mipaka ika sie kwa sababu viongozi wetu walikua wanapeda kushindana na posti za twitter na insta tukamtuma sirro akijifunze rwanda sasa rwanda unajifunza nn. Nchi ina uchumi wa kwenye tv na kigali tu huko kwingine bado sana hujui kwamba ndo nchi ya mwisho duniani kwa umaskini iko top 5 kutoka chini ya rank za nchi maskin duniani ucpagawe na kigali ndugu yangu raia kule wana njaa hatari
Umesema veeema sanaMkuu kama ingekua kwao wako more better basi wasingeleta madaktari wao wajifunze kwetu.
Pia raia wao wasingejazana kwetu kwa utalii wa matibu.
Unajua NGO itoe matibabu bure ya moyo bro inatakiwa itengwe fungu la bajeti kuendesha hiyo taasisi kwa kitengo hicho!?
Hizo pesa ni wapi zitatolewa?
Atatoa Rwanda government au washirika wake!?
Hiyo Egypt yenyewe aina ya matibabu wanaotushinda ni neurosurgeon tu mkuu.
Katika neurosurgery Afrika kumkuta Egypt ni kipengele,ila sio moyo wala mifupa.
Na asikwambie mtu,kitengo kikubwa cha afya kinatakiwa kimilikiwe na serikali na sio na shirika binafsi/NGO.
Kuna gharama za uendeshaji ambazo ndizo zina determine gharama za ulipaji wa wateja katika matibabu.
Kama wako better than us wasije huku Tanzania wabakie kwao Rwanda.
Sikushauri... Andaa mazingira miaka 5 kabla ya kustaafu utaishi Kwa aman sanabora nikistaafu niende zangu Rwanda kuliko kurudi nchi ya hovyo bongo
Ana maana milioni 1.28, watu wengi huwa wanajichanganya kwenye hizi namba za mamilioni.Nchi nzima watu wasiopungua milioni 10, Kigali pekee ina watu milioni 1288000, "hili nalo mkaliangalie
Mzee yeye alikua akiskia njoo nkupe mbinu upambane na wapinzani alikua akifurah mzee wetu asilimoa 95% kapambana sana na upinzani sijui kwann alikua anawwza maendeleo ya one man armyUmesema vizuri.... Mag alikuwa mbabe akajumuika na mwenzake ila LILIKUWA ni kosa sana
Ukosefu wa uzoefu wa kisiasa na intelligencia ya democrasia...Mzee yeye alikua akiskia njoo nkupe mbinu upambane na wapinzani alikua akifurah mzee wetu asilimoa 95% kapambana sana na upinzani sijui kwann alikua anawwza maendeleo ya one man army
Hata Demokrasia kule ni 0.8% ....Rwanda ni nchi flan yenye ukubwa wa km za mraba zisizopungua 26330 hivi.. ikiwa na idadi ya watu wasiopungua million 10.. huku mji mkuu ukiwa ni Kigali wenye idadi ya watu kama million 1,288,000 ..miji mingine ya kutegemewa ni GISENYI, Wwenye idadi ya watu laki nane na ushee hivi...Pato ghafi ni dollar za kimarekani ni takriban billion 12 na million mia kadhaa. Huku Pato la kila mwananchi ni takriban dollar 909 na sent kadhaa... Rwanda wanategemea kilimo Cha chai na kahawa.
Japo Kwa Sasa wanajitahidi kulima maharage na mahindi pamoja na ndizi, biashara inayostawi na wanaojidai nayo ni biashara ya maziwa, na mnyrwanda humdanganyi kuhusu ubora wa maziwa.. wao huwa wanayaweka kwenye ukucha maziwa freshi yakisambaa tu kwenye ukucha anakuambia hamna KITU hapo ni maji tu...
Wana refineries kdhaa za kuchenjua dhahabu japo Wana kias au deposit ndogo sana ya dhahabu. Dhahabu nyingi inatoka mashariki mwa Kongo mahalo penye vurugu ila sijui kama wanaipata Kwa uhalali !!!!!! Kwa ufupi story za RWANDA NI PROPAGANDA, SIKU AKIFA MAGLASS WATATESEKA SANA
Milioni moja laki mmbili themanini na nane elfuAna maana milioni 1.28, watu wengi huwa wanajichanganya kwenye hizi namba za mamilioni.
Mtu kama nyiguMmefikiwa na bwana sinenepi
Acha avimbishe watuMtu kama nyigu
hahahaaaa... hivi kuna prezidaa aliyeuwa watu na wapinzani wake hapa east africa kama PAKA?Acha uongo wako.Rwanda ni Nchi nzuri sana na ya amani tofauti na Tanzania Nchi ambayo haina amani.kila siku watu wanatekwa na kuuwawa mamia Kwa mamia ya watanzania
hahahaaaa... hivi kuna prezidaa aliyeuwa watu na wapinzani wake hapa east africa kama PAKA?