Sidhani kama unajua kuwa akili yako haina akili, kwani kuna limit ya idadi ya nyuzi za kufungua? Hata wewe fungua kadili utakavyoTangu Makonda apate uteuzi umeshafungua nyuzi 777 kumjadili. Hebu weka wazi huyu mwamba alikutaja orodha ya wauza Unga, Mapunga, waliotelekeza watoto au alikugusa engo ipi mkuu naona una ligi sana na Mwenezi wa Kijani.