A Allency JF-Expert Member Joined Jan 27, 2011 Posts 14,830 Reaction score 14,472 Nov 29, 2023 #21 mmteule said: Tangu Makonda apate uteuzi umeshafungua nyuzi 777 kumjadili. Hebu weka wazi huyu mwamba alikutaja orodha ya wauza Unga, Mapunga, waliotelekeza watoto au alikugusa engo ipi mkuu naona una ligi sana na Mwenezi wa Kijani. Click to expand... Sidhani kama unajua kuwa akili yako haina akili, kwani kuna limit ya idadi ya nyuzi za kufungua? Hata wewe fungua kadili utakavyo
mmteule said: Tangu Makonda apate uteuzi umeshafungua nyuzi 777 kumjadili. Hebu weka wazi huyu mwamba alikutaja orodha ya wauza Unga, Mapunga, waliotelekeza watoto au alikugusa engo ipi mkuu naona una ligi sana na Mwenezi wa Kijani. Click to expand... Sidhani kama unajua kuwa akili yako haina akili, kwani kuna limit ya idadi ya nyuzi za kufungua? Hata wewe fungua kadili utakavyo
Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 128,308 Reaction score 245,426 Nov 29, 2023 Thread starter #22 Ekuweme said: Wameshateua katibu mkuu mpya? Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app Click to expand... Anakaimu Mchaga
Ekuweme said: Wameshateua katibu mkuu mpya? Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app Click to expand... Anakaimu Mchaga
E Earthmover JF-Expert Member Joined Sep 28, 2012 Posts 24,977 Reaction score 23,799 Nov 29, 2023 #23 Futuhi za Makondeko
Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 128,308 Reaction score 245,426 Nov 30, 2023 Thread starter #24 Earthmover said: Futuhi za Makondeko Click to expand... zimezimika kama mshumaa !
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Nov 30, 2023 #25 Ngoja tuone...
Tindo JF-Expert Member Joined Sep 28, 2011 Posts 63,730 Reaction score 111,542 Nov 30, 2023 #26 Mzalendo Uchwara said: Kwa namna mambo ya CCM yanavyo fuatiliwa kwa ukaribu na nchi nzima ni wazi kuwa bado ipo mioyoni mwa wengi. Chama cha wananchi. Click to expand... Usifananishe kufuatiliwa na kukejeliwa. Unapaswa uangalie ni ufuatiliaji chanya au hasi?
Mzalendo Uchwara said: Kwa namna mambo ya CCM yanavyo fuatiliwa kwa ukaribu na nchi nzima ni wazi kuwa bado ipo mioyoni mwa wengi. Chama cha wananchi. Click to expand... Usifananishe kufuatiliwa na kukejeliwa. Unapaswa uangalie ni ufuatiliaji chanya au hasi?