Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
Leo nimeamka vizur sana, sikutegemea siku yangu itaelekea kuwa chungu.
Nipo zangu posta natembea mdogomdogo kuelekea ofisini asubuhi ya leo, mara ghafla kuna jamaa akaanza kuniongelesha (umri wake kama miaka 40-50) ambaye nilikuwa natembea nae njia moja....
Mshkaji; Oyaa niaje mzee?
Mimi; Safi mzee niambie?
Mshkaji; Poa kaka unaelekea wapi?
Mimi; (nikasita kidogo kujibu kwasababu simjui) naelekea kazini broo
Mshkaji; Daah sawa
(Mimi nikakaa kimya,
Baada ya kama dakika moja akaendelea kuniongelesha)
Mshkaji; unajua nn broo nimehangaika sana kuomba kazi za kuhudumia bustani na kukata kata majani kweny hizi hotel na ofisi za viongozi kwa miaka kumi na bado sijafanikiwa
(Mimi nikaendelea kukaa kimya, jamaa akaendelea)
Mshkaji; we acha tuu kaka hadi nimekata tamaa na maisha kila ninalofanya sifanikiwi, kazi ngumu maisha magumu, hadi kazi za kufyeka bustani nakosa kweli!!
(Sikuwa na kitu cha kumjibu kwasababu kanishtukiza ila nilihisi inabidi niongee kitu kwasababu kukaa kimya sidhani kama ni jambo zuri na jamaa anafunguka mambo yake)
Mimi; Usijali mwanang utapata, endelea kupambana
Baada ya kumwambia hivo, jamaa akaniangalia kwa jicho bana sana kama vile nimekosea kumwambia vile, hadi nikaanza kuogopa, nikawaza au maybe nimemtukana au kanisikia vibaya, jamaa hakuongea chochote aligeuka pembeni akanisonya, then kila mtu akaendelea na safari zake.
Aisee mimi nipo very sensitive na matatizo ya watu, yaan tokea asubuhi namuwaza yule mshkaji na incident iliyotokea, jinsi mshkaji alivohangaika kutafuta hizo kazi za bustani kweny hotel za pale posta, na mbaya zaidi kinachoniumiza kwann aliniangalia vibaya nilipomwambia maneno ya kumfariji, yaan niishie kusema leo sina raha kabisa.
Nipo zangu posta natembea mdogomdogo kuelekea ofisini asubuhi ya leo, mara ghafla kuna jamaa akaanza kuniongelesha (umri wake kama miaka 40-50) ambaye nilikuwa natembea nae njia moja....
Mshkaji; Oyaa niaje mzee?
Mimi; Safi mzee niambie?
Mshkaji; Poa kaka unaelekea wapi?
Mimi; (nikasita kidogo kujibu kwasababu simjui) naelekea kazini broo
Mshkaji; Daah sawa
(Mimi nikakaa kimya,
Baada ya kama dakika moja akaendelea kuniongelesha)
Mshkaji; unajua nn broo nimehangaika sana kuomba kazi za kuhudumia bustani na kukata kata majani kweny hizi hotel na ofisi za viongozi kwa miaka kumi na bado sijafanikiwa
(Mimi nikaendelea kukaa kimya, jamaa akaendelea)
Mshkaji; we acha tuu kaka hadi nimekata tamaa na maisha kila ninalofanya sifanikiwi, kazi ngumu maisha magumu, hadi kazi za kufyeka bustani nakosa kweli!!
(Sikuwa na kitu cha kumjibu kwasababu kanishtukiza ila nilihisi inabidi niongee kitu kwasababu kukaa kimya sidhani kama ni jambo zuri na jamaa anafunguka mambo yake)
Mimi; Usijali mwanang utapata, endelea kupambana
Baada ya kumwambia hivo, jamaa akaniangalia kwa jicho bana sana kama vile nimekosea kumwambia vile, hadi nikaanza kuogopa, nikawaza au maybe nimemtukana au kanisikia vibaya, jamaa hakuongea chochote aligeuka pembeni akanisonya, then kila mtu akaendelea na safari zake.
Aisee mimi nipo very sensitive na matatizo ya watu, yaan tokea asubuhi namuwaza yule mshkaji na incident iliyotokea, jinsi mshkaji alivohangaika kutafuta hizo kazi za bustani kweny hotel za pale posta, na mbaya zaidi kinachoniumiza kwann aliniangalia vibaya nilipomwambia maneno ya kumfariji, yaan niishie kusema leo sina raha kabisa.