Enzymes
JF-Expert Member
- Feb 14, 2013
- 4,332
- 3,013
Ha ha ha ha Pep namuogopa sn aisee. Binafsi nilicheki game jana ukumbini, Man Utd Fans waliondoka baada ya watu kupigwa tu 2 za mwanzo.ulijuaje?
huu uzi sikuwa nimeuona ndo nauona mda huu leo wakati spurs kashakula 4.
huyu FORTALEZA alifungua uzi atakuwa ni man u tu huyu, walisema city hajakutana na timu kubwa, mm sijaelewa mzunguko wa kwanza huwa kuna kuna na timu ndogo ? 18 unbitten ?