Jinsi suala la bandari linavyoidhalilisha na kuichafua LHRC

Umeanika upumbavu wako hadharani kilaza mkubwa wewe
 
Jamaa ni wapumbavu sana, wanalitumia shirika la haki za binadamu kama chaka lao la kufichia uhalifu wao. Lile mama ni janamke la hovyo sana.
 
Nimeona matusi na jazba zaidi kuliko hoja ulizotaka kuleta hapa. Hiki kiburi Chenu kitaiisha kwa machafuko ama mapinduzi ya kijeshi.
Kama unategemea jeshi litafanya mapinduzi ili kumweka kibara wa wabeleji Lisu madarakani, sahau na ondoa kbs fikra mfu hizo.
 
Wewe ndiyo fala kabisa
Kama Rais katukanwa kwa nini akina Dr Slaa wasifunguliwe kesi za kashfa kwa Rais?
Lisu aliyesema Rais ana akili za matope mbona haijakamatwa?
Unajua maana ya kuipundua serikali?
Hacha uchawa mtoto wa kiume wewe
Subiri pombe zikutoke alafu ndo uandike tena baada ya kusoma upya nilichoandika.

Andiko linasema kwamba Slaa na genge lake wamekamatwa kwa sababu ya uhaini na sio kwa sababu ya kukosoa mkataba au kumtukana raisi. Ndiomaana nikasema wakosoaji na watukanaji wote wapo mtaani afu wewe ukiwa na gongo kichwani unakuja kucheua matapishi yako hapa.
 
Umesahau kuweka namba ya simu!Muda wowote kwanzia hivi sasa utachaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya. ILEMELA
Wewe mbona hukuweka namba zako ili uchaguliwe kugombea ubunge chadema?
 
basi hamie Burundi km hakuna chombo chochote cha dola mnaweza kuiamini. Nyie ni watu gani hamuwezi kuongozwa, basi mtakuwa mazuzu fulani tafuteni pa kuishi mjitenge nasi tunaoamini vyombo vyetu vya dola
Ww una haki ya kuamini hivyo vyombo maana unafaidika navyo. Hakuna uwezekano wa sisi wengine kuamini vyombo tunavyoona kabisa havitendi haki. Mmeharibu utendaji wa taasisi zote za umma kwa ajili ya kulazimisha kubaki madarakani kwa shuruti.
 
Haujaelewa kbs kilichoandikwa, soma tena.
Ninasema Henga hakutaka kuingilia swala la matusi kwa kuwa linahitaji uthibitisho, yeye amejikita kwenye njia za ukamataji. Huenda kigugumizi cha polisi kinatokana na jinsi ya kufungua shitaka yaani kutengeneza kesi.
 
Kuruhusu siasa hakuhalalishi watu wapange kufanya mapinduzi dhidi ya serikali, alafu limama litoke huko na njaa zake lije liwatetee kwa kuongeza uongo wake.
 
Ninasema Henga hakutaka kuingilia swala la matusi kwa kuwa linahitaji uthibitisho, yeye amejikita kwenye njia za ukamataji. Huenda kigugumizi cha polisi kinatokana na jinsi ya kufungua shitaka yaani kutengeneza kesi.
Amejikita kwenye njia za ukamataji kivipi?
Kwahiyo yeye anapinga watu wanaofanya makosa au kupanga mapinduzi wasikamatwe?
 
Hizi viela vya wafadhili vinafanya hawa wanaojiita watetezi wa haki za binadamu wapumbavu
 
CCM huwa mnajiona raia wa daraja la Kwanza wakati mmejaa shida mwili mzima. Mnakesha kutukana watu mitandaoni na kwenye mikutano ya hadhara, Huyo mama yenu akiambiwa ukweli kauza bandari za Tanganyika kasepesha za kwao Mchambawima mnasema anatukanwa.
 
Unategemea upate heshima ipi Kwa limkataba la hovyo namna hii ulilosaini, alafu unaambiwa unashupaza shingo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…