Jinsi tuzo ya CAF ya timu bora ya karne waliyopewa Al Ahly ilivyozua mgogoro mkubwa

Jinsi tuzo ya CAF ya timu bora ya karne waliyopewa Al Ahly ilivyozua mgogoro mkubwa

Al Ahly waliwahi shiriki kombe la CAF huku wakiwa nafasi ya tatu na wakabeba Kombe hao Al Ahly washawahi kuwa washindi wa pili kombe la Klabu Bingwa mabingwa wakiwa Wydady ila wao ndio walipata nafasi ya kushiriki Club Bingwa ya Dunia...
Hao Al Ahly ligi ya Misri wamecheza mechi chache kuliko Timu yeyote wakiwa na mechi 7 wakati Timu zingine zina mechi 15 na 16 swala la upangaji matokea kwa mfumo huu haukwepeki hawana Ligi bora kwa sasa ndio maana hata Timu yao ya Taifa ni ya kawaida sana...
2003 = Simba inamvua ubingwa Zamalek, timu yenye makombe mengi zaidi Afrika karne ya 20, hata hadi wakati huo.

2024 = Simba inamvua ubingwa Al Ahly, timu yenye makombe mengi zaidi Afrika karne ya 21, na muda wote.

Wote tuseme In sha Allah!
 
2003 = Simba inamvua ubingwa Zamalek, timu yenye makombe mengi zaidi Afrika karne ya 20, hata hadi wakati huo.

2024 = Simba inamvua ubingwa Al Ahly, timu yenye makombe mengi zaidi Afrika karne ya 21, na muda wote.

Wote tuseme In sha Allah!
Ingependeza walipowavua Ubingwa wangebeba wao sio wanakuja kutolewa kizembe huko mbele...Al Ahly walishangaa Simba kutolewa na Kaizer Chief maana walisema hawategemei upinzani wowote kutoka kwa Kaizer walitegemea Simba ndio angepita kumbe wao target yao ni robo fainal tu..
 
Ingependeza walipowavua Ubingwa wangebeba wao sio wanakuja kutolewa kizembe huko mbele...Al Ahly walishangaa Simba kutolewa na Kaizer Chief maana walisema hawategemei upinzani wowote kutoka kwa Kaizer walitegemea Simba ndio angepita kumbe wao target yao ni robo fainal tu..
Mpira una matokeo ya kikatili
 
Mpira una matokeo ya kikatili
Kwa wanaojua na waliojiandaa ila kama hujui mpira matokeo yanayotoka ni sawa ni kama Simba kufungwa na Al Ahly au Yanga kufungwa na Mamelodi hakuna ukatili wa matokeo hapo ukatili ni hizo Timu zetu kuwafunga hao Wasizwa ..
 
Takwimu zipo ni TFF wanaogopa tu kuvitolea vitu ufafanuzi.

Nina wazo liwafikie wahusika, waanzishe tuzo ya "Timu ya Muongo (Team of the Decade). Waweke wazi mfumo wa point utakaotumika halafu kila baada ya miaka 10, timu moja yenye point nyingi ipewe tuzo. Mfumo ujumuishe bingwa wa ligi, FA (bingwa na mshindi wa pili), pamoja na CAFCL na CAFCC kuanzia robo fainali.

Tukutane June 2029 kwa kutangazwa mshindi wa kwanza wa 2019-2019.
Sasa TFF watahusikaje kwenye kuhesabu points za international competition kama vile CAFCC na CAFCL wakati hyo ni CAF mandatory.

TFF wa deal na Domestic competition kama vile community shield,FA na League.

Mambo ya International competition wawaachie vyama vya mpira husika.

Leo Hii CAF hawawezi kutoka front kuja kutoa takwimu au habari za FiFA World cup champions.
 
Sasa TFF watahusikaje kwenye kuhesabu points za international competition kama vile CAFCC na CAFCL wakati hyo ni CAF mandatory.

TFF wa deal na Domestic competition kama vile community shield,FA na League.

Mambo ya International competition wawaachie vyama vya mpira husika.

Leo Hii CAF hawawezi kutoka front kuja kutoa takwimu au habari za FiFA World cup champions.
Kuyahesabu mashindano ya nje itasaidia kuzipa chachu timu zifanye vizuri kimataifa na pia kuipa thamani tuzo. Inawezekana kabisa CAF hawakuhesabu mashindano ya nje kwa sababu walitaka kumnufaisha Al Ahly kama ambavyo Zamalek walidai. Hauwezi kupewa timu bora ya muongo kwa kushinda Mapinduzi Cup na FA mfululizo halafu hata CAFCL haujawahi kukanyaga.
 
Al Ahly waliwahi shiriki kombe la CAF huku wakiwa nafasi ya tatu na wakabeba Kombe hao Al Ahly washawahi kuwa washindi wa pili kombe la Klabu Bingwa mabingwa wakiwa Wydady ila wao ndio walipata nafasi ya kushiriki Club Bingwa ya Dunia...
Hao Al Ahly ligi ya Misri wamecheza mechi chache kuliko Timu yeyote wakiwa na mechi 7 wakati Timu zingine zina mechi 15 na 16 swala la upangaji matokea kwa mfumo huu haukwepeki hawana Ligi bora kwa sasa ndio maana hata Timu yao ya Taifa ni ya kawaida sana...
Club bingwa dunia ilifanyika Morroco. KWA hiyo Africa inakuwa na wawalilishi wawili. Bingwa na makamu bingwa.
 
Club bingwa dunia ilifanyika Morroco. KWA hiyo Africa inakuwa na wawalilishi wawili. Bingwa na makamu bingwa.
Utakua umechanganya mkuu ilifanyika Saud Arabia na hii ya 2025 itafanyika Nchi za waarabu huko huko itakua na Timu 32 kutoka kwenye mabara yote...
 
Takwimu zipo ni TFF wanaogopa tu kuvitolea vitu ufafanuzi.

Nina wazo liwafikie wahusika, waanzishe tuzo ya "Timu ya Muongo (Team of the Decade). Waweke wazi mfumo wa point utakaotumika halafu kila baada ya miaka 10, timu moja yenye point nyingi ipewe tuzo. Mfumo ujumuishe bingwa wa ligi, FA (bingwa na mshindi wa pili), pamoja na CAFCL na CAFCC kuanzia robo fainali.

Tukutane June 2029 kwa kutangazwa mshindi wa kwanza wa 2019-2019.
TFF anahusika vp na mambo ya CAF mbona unatumia nguvu nyingi kuonekana huna akili
 
Kuyahesabu mashindano ya nje itasaidia kuzipa chachu timu zifanye vizuri kimataifa na pia kuipa thamani tuzo. Inawezekana kabisa CAF hawakuhesabu mashindano ya nje kwa sababu walitaka kumnufaisha Al Ahly kama ambavyo Zamalek walidai. Hauwezi kupewa timu bora ya muongo kwa kushinda Mapinduzi Cup na FA mfululizo halafu hata CAFCL haujawahi kukanyaga.
Wewe kweli dish [emoji341]
 
Utakua umechanganya mkuu ilifanyika Saud Arabia na hii ya 2025 itafanyika Nchi za waarabu huko huko itakua na Timu 32 kutoka kwenye mabara yote...
1) Yaliyofanyika UAE . Kutoka Africa alienda Al Ahly pekee,sababu ni alikuwa bingwa Africa

2)Yakafuata Yaliyofanyika Morroco. Kutoka Africa walienda wawili Wydad bingwa wa CAF na Ahly kama makamu bingwa. Bars likiandaa linakuwa na nafasi mbili.

3) Yakafuata Yaliyofanyika Saudia . Africa alienda Al Ahly pekee kwa vile ndiye bingwa na Africa ina nafasi moja.

Hayo namba tatu ndiyo ya mwisho kufanyika.

Ukagugo ujiridhishe vizuri
 
Kwa wanaojua na waliojiandaa ila kama hujui mpira matokeo yanayotoka ni sawa ni kama Simba kufungwa na Al Ahly au Yanga kufungwa na Mamelodi hakuna ukatili wa matokeo hapo ukatili ni hizo Timu zetu kuwafunga hao Wasizwa ..
Unapenda kutumia kauli ya "haujui mpira" kirahisi rahisi sana. Simba kumfunga Al Ahly haitaishtua dunia, huo ndiyo ukweli.
 
Unapenda kutumia kauli ya "haujui mpira" kirahisi rahisi sana. Simba kumfunga Al Ahly haitaishtua dunia, huo ndiyo ukweli.
Una mahaba yamepitiliza sema baadae utakuja kuelewa wengi wamepitia hiyo miguu...
 
1) Yaliyofanyika UAE . Kutoka Africa alienda Al Ahly pekee,sababu ni alikuwa bingwa Africa

2)Yakafuata Yaliyofanyika Morroco. Kutoka Africa walienda wawili Wydad bingwa wa CAF na Ahly kama makamu bingwa. Bars likiandaa linakuwa na nafasi mbili.

3) Yakafuata Yaliyofanyika Saudia . Africa alienda Al Ahly pekee kwa vile ndiye bingwa na Africa ina nafasi moja.

Hayo namba tatu ndiyo ya mwisho kufanyika.

Ukagugo ujiridhishe vizuri
Bingwa alikua Wydady akaenda Ah Ahly maana bingwa anachukuliwa wa msimu uliopita sio msimu huo huo kabla ya kufuta na kuja huu mfumo wa Timu 32 kutoka mabara 6...
 
Una mahaba yamepitiliza sema baadae utakuja kuelewa wengi wamepitia hiyo miguu...
Kwani wewe haujawahi kushuhudia Simba ikimfunga Al Ahly hadi uje kushangaa? Nisije kuwa naongea na mtu ambaye bado hajazaliwa.
 
Bingwa alikua Wydady akaenda Ah Ahly maana bingwa anachukuliwa wa msimu uliopita sio msimu huo huo kabla ya kufuta na kuja huu mfumo wa Timu 32 kutoka mabara 6...
Sijakuelewa.
Hebu andika katika mfumo nilioandika mimi. Yaaani unaandika nchi iliyoandaa klabu bingwa dunia halafu unaandika washiriki kutoka Africa
 
Back
Top Bottom