Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Mkuu hoja ni Ah Ahly aliwahi shiriki hilo kombe wakati sio Bingwa wa Afrika sasa wewe unae gogu cheki hiyo maana hapa ntatumia muda mrefu na usinielewe...Sijakuelewa.
Hebu andika katika mfumo nilioandika mimi. Yaaani unaandika nchi iliyoandaa klabu bingwa dunia halafu unaandika washiriki kutoka Africa