Mkuu hoja ni Ah Ahly aliwahi shiriki hilo kombe wakati sio Bingwa wa Afrika sasa wewe unae gogu cheki hiyo maana hapa ntatumia muda mrefu na usinielewe...
Mkuu hoja ni Ah Ahly aliwahi shiriki hilo kombe wakati sio Bingwa wa Afrika sasa wewe unae gogu cheki hiyo maana hapa ntatumia muda mrefu na usinielewe...
Aliwahi kushiriki kea mujibu wa kanuni za mashindano, sio kupendelewa. Maelezo yako ni kanakwamba Al Ahly ilipendelewa wakati kanuni ni kuwa bara likiandaa club bingwa dunia bingwa na makamu bingwa wanashiriki automatic.
Mwaka Ahly wanashiriki bila kuwa mabingwa, walikuwa makamu bingwa na club bingwa dunia yaliandaliwa Africa, Morroco.
Yaliyofanyika Saudia Afrika alienda Ahly pekee akiwa bingwa. Asia zikawa timu mbili.
Hoja yako wewe ni Ahly kupendelewa kumbe ni kanuni