komoakomesha
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 285
- 401
- Thread starter
-
- #21
Una hasira na Mimi unakaa kwa shemeji yko umesubili ajira za ualimu jina lko halipo utaolewa mwaka huuKumbe hiyo ndio akili kubwa! Yaani kutokuijua Tecno ndio akili ndogo!
Ungekua na akili kubwa ungekua unahariri maandishi yako kabla hujayapost humu,mtu anaweza kudharaulika kwa uandishi mbovu.
Umeamua kutuambia siri zako naona!Una hasira na Mimi unakaa kwa shemeji yko umesubili ajira za ualimu jina lko halipo utaolewa mwaka huu
Maisha yanaenda kasi sana na maisha yanabadilika, lakini isiwe chanzo cha kudharau wengine, nimeona baadhi ya nyuzi humu wakazi wa Mbezi Luisi na Kibamba kutusema vibaya tunaoishi Mbagala.
Siku zote sikuona nyuzi za namna hio, eti kisa stendi mpya ya Mbezi magari yaendayo mkoani, niwaambie Jambo moja kila mtu ana haki ya kukaa sehemu aipendayo ni Bora nikae Mbagala kuliko kuchangamana na akina Shayo, na kina Mushi mlioja Mbezi Kimala Temboni Kibamba ,makazi mnapoishi mmejaza nguruwe na ng'ombe mbuzi Bata mzinga ni uchafu kwenda mbele.
Sisi hatuna shida na hio stendi wengine safari zetu ni mbele huko utasikia leo niko London mala Amelican sio kwenda mikoani ,nyie wenye shida za kwenda mikoani ndo mkae huko.
Usitutikise sisi WakatolikMara ya kwanza kusikia Malia Obama nikajua wamekosea kuandika kumbe liko sahihi.
Akili ilitaka iwe Maria na si Malia....
Mwenyewe nilipoona American nkajua wamekosea kuandika akili ilitaka iwe Amelican sio AmericanMara ya kwanza kusikia Malia Obama nikajua wamekosea kuandika kumbe liko sahihi.
Akili ilitaka iwe Maria na si Malia....
Mlete mkeo anisaidie kuandika chumbaniMwenyewe nilipoona American nkajua wamekosea kuandika akili ilitaka iwe Amelican sio American
Marekani[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu safari zako wewe ni mbele huko Amelican.
Huko Amelican ndio wapi huko na mimi niende?
Utaolewa usiendelee kunifatafataUmeamua kutuambia siri zako naona!
😀😀😀😀😀😀
Mbona umeamua kujianika humu?!Utaolewa usiendelee kunifatafata
Umeelewa hujaelewa jibu kwanzaNiko London,MALA AMELIKA,what the fvck is this nonsense aisee?
Miaka 14 upo shule ndio tunaongea hivi?
Halafu utasikia najivunia Uswahili!
Siwez kukaa na wachaga wachafu sana sehemu wanayolala na kuku humohumo
mkuu unaishi mbagala ipi? Wakazi wa huko ni mabingwa wa kupigana vikumbo kwenye milango ya daladala. Ustaarab ni sifuri kabisa pande za hukoMaisha yanaenda kasi sana na maisha yanabadilika, lakini isiwe chanzo cha kudharau wengine, nimeona baadhi ya nyuzi humu wakazi wa Mbezi Luisi na Kibamba kutusema vibaya tunaoishi Mbagala.
Siku zote sikuona nyuzi za namna hio, eti kisa stendi mpya ya Mbezi magari yaendayo mkoani, niwaambie Jambo moja kila mtu ana haki ya kukaa sehemu aipendayo ni bora nikae Mbagala kuliko kuchangamana na akina Shayo, na kina Mushi mliojaa Mbezi, Kimara, Temboni na Kibamba, makazi mnapoishi mmejaza nguruwe na ng'ombe mbuzi Bata mzinga ni uchafu kwenda mbele.
Sisi hatuna shida na hio stendi wengine safari zetu ni mbele huko utasikia leo niko London mara Amelica sio kwenda mikoani ,nyie wenye shida za kwenda mikoani ndo mkae huko.
Wanasafili kwenda AmelicaWapo matajiri hawajui kusoma na wanasafili kote duniani
Sidhani kama walioleta nyuzi za stendi ya Mbezi Luis na kuhusisha maeneo mengine walilenga kukejeli hayo maeneo, naamini walikuwa wanahusisha "distance" rather than what you perceived! PERIOD.Maisha yanaenda kasi sana na maisha yanabadilika, lakini isiwe chanzo cha kudharau wengine, nimeona baadhi ya nyuzi humu wakazi wa Mbezi Luisi na Kibamba kutusema vibaya tunaoishi Mbagala.
Siku zote sikuona nyuzi za namna hio, eti kisa stendi mpya ya Mbezi magari yaendayo mkoani, niwaambie Jambo moja kila mtu ana haki ya kukaa sehemu aipendayo ni bora nikae Mbagala kuliko kuchangamana na akina Shayo, na kina Mushi mliojaa Mbezi, Kimara, Temboni na Kibamba, makazi mnapoishi mmejaza nguruwe na ng'ombe mbuzi Bata mzinga ni uchafu kwenda mbele.
Sisi hatuna shida na hio stendi wengine safari zetu ni mbele huko utasikia leo niko London mara Amelica sio kwenda mikoani ,nyie wenye shida za kwenda mikoani ndo mkae huko.