CARIFONIA
JF-Expert Member
- Aug 17, 2013
- 616
- 1,453
Inasikitisha sana kuona taifa kama Kenya limekua mstari wa mbele kuwatukuza mabeberu, kiasi kwamba wameamua kuikabidhi nchi yao kwa mabeberu yanayoshirikiana na wakenya wachache kuila na kuitafuna nchi, huku majorty ya Wakenya wakihishi kama wapo jehanamu ndani ya nchi yao wenyewe.
Sasa sahau kidogo zile slums za Nairobi, hii nchi unaweza kusema asilimia kubwa ni slums, hizi hapa chini ni slums kutoka Nakuru na Mombasa.
Sasa sahau kidogo zile slums za Nairobi, hii nchi unaweza kusema asilimia kubwa ni slums, hizi hapa chini ni slums kutoka Nakuru na Mombasa.