Jinsi Wakenya walivyoiuza nchi yao kwa mabeberu

Jinsi Wakenya walivyoiuza nchi yao kwa mabeberu

Inasikitisha sana kuona taifa kama Kenya limekua mstari wa mbele kuwatukuza mabeberu, kiasi kwamba wameamua kuikabidhi nchi yao kwa mabeberu yanayoshirikiana na wakenya wachache kuila na kuitafuna nchi, huku majorty ya Wakenya wakihishi kama wapo jehanamu ndani ya nchi yao wenyewe.

Sasa sahau kidogo zile slums za Nairobi, hii nchi unaweza kusema asilimia kubwa ni slums, hizi hapa chini ni slums kutoka Nakuru na Mombasa.

View attachment 1488469View attachment 1488480View attachment 1488481View attachment 1488482View attachment 1488483View attachment 1488484View attachment 1488485View attachment 1488486View attachment 1488487View attachment 1488488View attachment 1488490View attachment 1488491View attachment 1488492View attachment 1488493View attachment 1488494
Hko ndio ligi yenu[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkimaliza kujilinganisha na slums endeni na turkana...mkishamaliza nengueni kw sana tanzania kuichapa slums na turkana

Tanzania hoyeeee
 
Hko ndio ligi yenu[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkimaliza kujilinganisha na slums endeni na turkana...mkishamaliza nengueni kw sana tanzania kuichapa slums na turkana

Tanzania hoyeeee
kwani we upo slum gani? Kariobang, mathare au kibera😂😂
 
kwani we upo slum gani? Kariobang, mathare au kibera[emoji23][emoji23]
Hko ndio level ya watanzani wa gikombaa, waganda na wanubii[emoji23][emoji23]
Mtanzania wa kawaida kw maisha ya chumba cha tsh 20k-50k si ataishia hko tu akija hku[emoji23][emoji23]
 
Hko ndio level ya watanzani wa gikombaa, waganda na wanubii[emoji23][emoji23]
Mtanzania wa kawaida kw maisha ya chumba cha tsh 20k-50k si ataishia hko tu akija hku[emoji23][emoji23]
😂😂 huku kwetu happy life sasa nani aje aishi kwenye slums, tunaogopa chorela
 
[emoji23][emoji23] huku kwetu happy life sasa nani aje aishi kwenye slums, tunaogopa chorela
Unaogopa cholera na wakati hupawezi[emoji23][emoji23] kenya kuna hustling ya level ingine kabisa..
Ndio manake wakenya wa kawaida sana ndio wale huenda arusha ku flex lkn subutu mtanzania wa kawaida aje kenya kijinga jinga
 
Unaogopa cholera na wakati hupawezi[emoji23][emoji23] kenya kuna hustling ya level ingine kabisa..
Ndio manake wakenya wa kawaida sana ndio wale huenda arusha ku flex lkn subutu mtanzania wa kawaida aje kenya kijinga jinga
Hakuna cha ajabu kenya, ndio mahana atuji huko, zaidi mimi nikijaga kenya huwa napenda kwenda kushangaa zile slums zenu huku nikijiuliza inawezekanaje binadamu anaweza kuishi kwenye mazingira kama yale,
 
Hakuna cha ajabu kenya, ndio mahana atuji huko, zaidi mimi nikijaga kenya huwa napenda kwenda kushangaa zile slums zenu huku nikijiuliza inawezekanaje binadamu anaweza kuishi kwenye mazingira kama yale,
Povuuuu!!waulizeni wasanii wenu, hawamalizi mda bila ya kuja kenya
 
Kumbe huu ndio uhalisia wa Kenya???

Wallah sikuamini, wakiwa huku mbona mbwembwe za kushato?

Mhhh.. hapana yaani hata MK254 anaishi huku?
 
Povuuuu!!waulizeni wasanii wenu, hawamalizi mda bila ya kuja kenya
wanakuja kupiga ela hao nakuchukua mademu zenu, sababu nyie mademu wa kunyaland mnashoboka sana na wanaume wa kibongo
 
wanakuja kupiga ela hao nakuchukua mademu zenu, sababu nyie mademu wa kunyaland mnashoboka sana na wanaume wa kibongo
Hahaha!!wengine wanaekwa eti unataja kupiga hela[emoji23][emoji23]
Kuna wale ambao huekwa mombasa napia wana wenzao wa nairobi..so hata we pia ukijiskia utawekwa kinyumba
 
[emoji23][emoji23] manzese na uwanja fisi ni uswazi ila kwenu kumzidi, inaoneka nchi nzima full slums, kwa hiyo umaskini wenu ni kwa ajili ya vivutio wazungu waje wafanyie movie, ndio mahana nikasema mabeberu yameinunua kunyaland
Tanzania hakuna slums kuna unplanned settlement.
 
Inasikitisha sana kuona taifa kama Kenya limekua mstari wa mbele kuwatukuza mabeberu, kiasi kwamba wameamua kuikabidhi nchi yao kwa mabeberu yanayoshirikiana na wakenya wachache kuila na kuitafuna nchi, huku majorty ya Wakenya wakihishi kama wapo jehanamu ndani ya nchi yao wenyewe.

Sasa sahau kidogo zile slums za Nairobi, hii nchi unaweza kusema asilimia kubwa ni slums, hizi hapa chini ni slums kutoka Nakuru na Mombasa.

View attachment 1488469View attachment 1488480View attachment 1488481View attachment 1488482View attachment 1488483View attachment 1488484View attachment 1488485View attachment 1488486View attachment 1488487View attachment 1488488View attachment 1488490View attachment 1488491View attachment 1488492View attachment 1488493View attachment 1488494
nilidhani sgr na bandari zingeondoa slum ety Kenya taifa imara 😣😣😣😣😣
 
Huyu mjinga hawezi jibu., ikija kwa data mwafaka Tz ni aibu, ame cherry pick photos akabandika to support his skewed thinking, weka aerial view ya Dar uone ama google earth., Dar developed area is like only 10%., the rest ni sprawling unplanned village type residential, nyumba za room moja moja na two rooms ni mingi sana, hakuna proper roads kule ndani ni tiny streets ama corridors za watu kuzurura mle ndani ya mitaa., masikini ni wengi mno, hili hawawezi kubali. Dar is slum 80%., a mbkend of city and village life(city 10%, ushamba 80%) multidimensional poverty
Anajua hujajibu chochote unaweweseka tuu. Nimekuukiza ujibu kwa idadi ya wanaokaa slums ukilinganisha na jumla ya idadi nzima ya wakenya?.. [emoji1732][emoji1732]
 
Back
Top Bottom