Jinsi Wakenya walivyoiuza nchi yao kwa mabeberu

Jinsi Wakenya walivyoiuza nchi yao kwa mabeberu

Mumejaza slums hapa Nairobi, hawkers wa vitenge kutoka Tz na boda boda riders wanaishi kibera na mukuru, nyie waCongo na wa Burundi(refugees),
[emoji23][emoji23] huku kwetu happy life sasa nani aje aishi kwenye slums, tunaogopa chorela
 
Mungekua mumeweka picha humu, nyambaff, masikini anaonekana kwa mawazo, kama hii yako wewe ni masikini, kama uko Dar unaishi kwa zile nyumba zenu za kiswahili za kishamba room moja moja., watu mia choo na bafu ni moja ya kule nje. Dar ni city ya kishamba sana kama Lagos tu.
Mbona hata huku kuna wakenya kibao ombaomba, sema sisi ni wastarabu hatupendi maonyesho kama nyinyi
 
Huyu mjinga hawezi jibu., ikija kwa data mwafaka Tz ni aibu, ame cherry pick photos akabandika to support his skewed thinking, weka aerial view ya Dar uone ama google earth., Dar developed area is kike only 10%., the rest ni sprawling unplanned village type residential, nyumba za room moja moja na two rooms ni mingi sana, hakuna proper roads kule ndani ni tiny streets ama corridors za watu kuzurura mle ndani ya mitaa., masikini ni wengi mno, hili hawawezi kubali. Dar is slum 80%., a mbkend of city and village life(city 10%, ushamba 80%) multidimensional poverty
Hii ni pumbaless a.k.a nonsense, inavyohonekana hujui chochote kuhusu DSM, dar ni mji wenye wakazi takribani milion sita, Dsm aina slums, na kwa taharifa yako tu sasa hivi jiji nzima ni kama lishaunganishwa kwa barabara za lami mpaka uswazi ndanindani with the best water supply services, so next time kama ujui kitu bora ukavunga

Note: hapa bongoland hakuna mji wowote wenye slums, zaid slums tunazionaga kwa majirani zetu hapo kunyaland
 
Mungekua mumeweka picha humu, nyambaff, masikini anaonekana kwa mawazo, kama hii yako wewe ni masikini, kama uko Dar unaishi kwa zile nyumba zenu za kiswahili za kishamba room moja moja., watu mia choo na bafu ni moja ya kule nje. Dar ni city ya kishamba sana kama Lagos tu.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ nilisahau pia huku kuna midume ya kunyaland toka Mombasa na lamu imeolewa Zanzibar na Tanga
 
Back
Top Bottom