Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hope urassa AnakuitaKuelewa kiingereza kilichoandikwa na mtanzania ni kazi sana
Hata kama jamani, yaani baada tu ya salamu mtu anauliza jinsi ya kuimarisha penzi? Penzi lipi hata hakujui jina ndio kwanza umempa namba.....? Wanaume msikwepe majukumu. Kutongozwa kuna raha yake. Aseme basi hata " dada naomba tuwe wapenzi"jaribu kuwa muelewa
hapo katupia ndoano sema amekosa misamiati sahihi
yawezekana ujuzi wake wa ngeli ni mdogo
anajitutumua kwa kufosi
Ndio maana nimeleta hoja mbele yenu wananzengo, hii ya kujibu tu "hi" eti ghafla umeshakuwa mpenzi wa mtu inatisha,Nilichogundua na wewe unamtaka, ila uwasilishaji ndio umekutoa kwenye reli.
Sasa mwambie akutongoze vizuri, au mtongoze wewe, mnasema 50/50
Kapewa namba,Haujaeleza alivyopaswa kufanya.
Ila ulijua wakati anaomba namba anakutaka, na wewe kutoa maana yake ulijua cha kujibu, sasa mwelekeze unachotakaNdio maana nimeleta hoja mbele yenu wananzengo, hii ya kujibu tu "hi" eti ghafla umeshakuwa mpenzi wa mtu inatisha,
yaani anavyosema 'strengthen' inawezekana kabisa hamaanishi 'imarisha' bali anamaanisha apandishwe cheo kutoka rafiki hadi mpenziHata kama jamani, yaani baada tu ya salamu mtu anauliza jinsi ya kuimarisha penzi? Penzi lipi hata hakujui jina ndio kwanza umempa namba.....? Wanaume msikwepe majukumu. Kutongozwa kuna raha yake. Aseme basi hata " dada naomba tuwe wapenzi"
Kijana asikilizwejaribu kuwa muelewa
hapo katupia ndoano sema amekosa misamiati sahihi
yawezekana ujuzi wake wa ngeli ni mdogo
anajitutumua kwa kufosi