Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Duuh strengthen is for something that exist not a proper word for a new phenomenon
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama umemuelewa mrahisishie basi...Hata kama jamani, yaani baada tu ya salamu mtu anauliza jinsi ya kuimarisha penzi? Penzi lipi hata hakujui jina ndio kwanza umempa namba.....? Wanaume msikwepe majukumu. Kutongozwa kuna raha yake. Aseme basi hata " dada naomba tuwe wapenzi"
Kumekucha! 😄Ili uwachukize Mwanamke wa kichaga jaribu hii!/Ili demu wa kichaga akuelewe tekeleza huu ujumbe kwa asilimia 100
Shemeji nimeipata ile namba ya mtaalamu Yule aliye nisaidia shida zangu hii hapa 0617146864 mpgie mzee atakusaidia matatizo ulio nieleza malipo baada ya tibaView attachment 3169160
Nailed 📌 📌Mmeyafanya mapenzi kuwa biashara halafu mnataka kutongozwa.! Unataka akutongoze ili ajiweke upande dhaifu kwenye mahusiano, unataka atoboke kwanza mfuko wakati bado hana uhakika wa kukubaliwa.
We don't beg, we negotiate.
WalaaahIli uwachukize Mwanamke wa kichaga jaribu hii!/Ili demu wa kichaga akuelewe tekeleza huu ujumbe kwa asilimia 100
Shemeji nimeipata ile namba ya mtaalamu Yule aliye nisaidia shida zangu hii hapa 0617146864 mpgie mzee atakusaidia matatizo ulio nieleza malipo baada ya tibaView attachment 3169160
Hata Mimi Kwa Sasa naona ni kazi kweli Bora kununua tuu.True story;View attachment 3168933
jamaa yuko sahihiMeseji 6 tu mnachat siku tatu, kuanzia tar 25 hadi 28.