Jinsi Wanawake wanavyowafanya Wanaume kuwa dhaifu

Hyaa yooote ya nini bana!! tumeumbwa wake wengi sisi bana!! ishi unavo weza tu!! km ukimpenda muoshe hata mwili mzima!!! ukiona unafuraha kaa nae!! ukiona hafai tafuta mwanamke mwenzake mchaw!!i tena na tena akurogeee huyo mtu!!

na ikibidi rafiki yake kindaki ndaki au mdogo wake wa damu piga mashine hasa mpaka ayambe kifukuto!! hapa atakupunguzia majungu! mwanaume lazima uwe na vimada tu ili kuweka displine! atajua yeyey asepe au akae!

nda maana kina Mahita na minyota yao walichukua House keepers!! kwa mambo km haya!! kwanza unapata akiba njema ya watoto!! ke akiwashawishi hawa wakupuuze huku wananyanyuka wengine wa nyumba ndogo wanapiga ndefu kuziba pengo.

Weye bado unapeta kiulainiiiiiii
 
Ujue ushalogwa ndo maana wasema hivyo
Daaa!! kwa mnyaturu? baba ? maji ya kunde, sijui mweupe na tujino mbinuko hivi weee!! najuwa nyaturuz wengi mko ivo!! walahi usipate shida ya kujificha ficha mie niroge tu!! tena siku nikikupata na ukichelewa kuniroga nakwambia kabisaaaaa!! '' Eee banae niroge basi!!

Jamani hivi me' wengine mnatakaga nini? kurogwa si kupendwaa au?? ivi mnataka nini nyie watu?? !! sasa kwa nini ulitongoza usiye mpenda??! wa type yako hukuwaona???

Zee! zima unanywele kila mahali na akili timamu umwage mi grease yako hapa, ukaendeshee gari kwingine, Tena basi bila huruma ya huduma ya usafi? Mwee! in huuu! kwani ke hapendi?? mungu gani aliagiza ivo? si imeandikwa me tumeumbwa kwa mfano wa Mungu?

Sasa mfano wa mungu gani unaruka ruka?? Ke' mtu wana akili sana, tangia kulee! Edeni, Adamu pamoja na kupiga songi na Mungu, alitulizwa!! weye nani kwa ke?? ..ke akikufanyia!! anajua tu weye ni mwana sarakasi hujatulia. sasa

hapo dawa yake ni Limbwatakimahiti linakuhus!! ili ukome huko uendako!! na huchomoki hata km ukichomoka huko utakuwa km msukule tu! bora urudi hapa!

Nikuume sikio bure dogo!! wanaume wenzenu sisi huwa tunajua kabisaaa!! kuwa ''sasa narogwa!!'' nakula kadawa nikijua mwanzo mwisho!! naweka na kamsisitizokabisaa ! '' oyaa! mbona chai bado??

Wenzenu sisi mkuu siyo Madomo zege!! tunakula nyapu ile roho ina penda !! tena mbali na hayo zile classic nyapu!! kulingana na level yetu! au level ya juu hasa! yaani zile bana hazionagi shida bin taabu, ya kukukatia ticket ya go en return! to Sydney!

or somewhere else in de world!! tena basi ukifika ndo mazimaaaa!! unakuwa raia!! siyo kibongo bongo!! Ukiona mutu anaogopa limbwata la mdada!! huyo kakurupika sababu ya udomo zege wake!! sasa wee!!

fikiria tu mtu anakuhangaikia muishi maisha marefu amekupa naniliu ukaweka hivi!! lengo ni mzae mlee! km Mungu alivoagiza ili huko maishani ulelewe na uliowazaa pindi ukizeeka, wewe hutaki!! sasa unataka nini kama siyo kutulizwa??

kwa nini ulimtongoza au kumzalisha mutu ambaye humpendi? hayo ni matumizi mabaya ya rasilimali watu? lazima me'' wa hivi utakuwa umepungukiwa chembeakili! tena kilema ! sasa mdada mchawi wa Limbwata hana kosa anakurekebisha tulia tu ule ushibe!

Tena dada piga kabisa limbwata mahiti, awe anakufua hayo makalio yako pindi ukimaliza shughuli ya nyaa!! wkt una pururu yeye asubili standby nje! kwa mlango ya choo!! na kopo la maji akusafishe!! make tayari wa hivi ndo kazi zamfaa,

ili siku akikutoroka, akaseme, .... wa hivi hawaonagi taabu /aibu kusimulia walivo jambishwa kifukuto!

Me'' weye ndo unakosa kubwa unafanya zinaa! eti una sepa??? Na Mungu amekataza Zinaa!!!! naomba wa dada wote humu mnao niona , muwaroge vipanga!! ''kwa amri'' mpaka watambae kwa ulimi!! wakome...

jueni mnawaweza bana! si nyie mnatawala jiko?? unamlisha zee!! zima, unamfulia, unamlaza usingizi mnono! unamtunzia watoto, nyumba yake, mahali pa kulala! mbegu zake, yaani yeye anamwaga!! mwaa! wewe mdada unabeba mzigo huko chini! tena waweza vimba miezi tisa!! usio kuwa na faida kwako!! hivi kweli?? ngoja ....

kwa nini umchezee binadamu mwenye akili zake timamu anae run Dunia?? umgeuze! geuze ka chapati ya uswahilini! tena jua wamekuzaa,wamekulea, wamekulinda,kupa akili, hao!! fikiria tu km Mama/dadako/bintiyo, angefanyiwa ivo!! ungejisikiaje??

km ni hivo kwa nini huyu mwana wa mwenzio? yaani ummwagie mdada mzima kabisa tindikali kali hiyo! af eti usepe? bila chembe ya huruma?? wenzenu tunafanyaga kwa heshima na kumlinda kwa adabu zote na Mungu anasikia!!

bila chembe ya huruma? na wao ke' maskini ya Mungu hao hawasemi kitu! wala kutia neno humu yaani! miafrika sijui ikoje???!!! hee!! ndo Mungu aliagiza hivo? tulia urogwe!!! si ulimpenda? shida iko wapi??? hutaki!! David Cameroon ana neno na wewe!!!. si unamjua kamsome yumo humu.....
 
Sifa ya mwanmme ni kuwa na hela nyingi na wanawake wengi na watoto wengi
#Power

Nje ya hapo mwanamme ni mtumwa tu kwa Mwanamke kake kamoja na umasikini wake.
 
Habari wana JF[emoji1666]. Leo nimekuja nasula la kisaikolojia ambalo linahusu namna wanawake wanavyoathiri saikolojia ya wanaume ili kuwafanya watumwa.
Conclusion yangu juu ya hawa viumbe kuna kila mtu na wake,stick to your lane and see how things smoothly move forward, ukitaka kutunisha misuli utaumia sana. Talking out of experience!! Lets marinate that..
 
Hii ni kweli tupu

Kwenye ndoa kuna mambo mengi sana, yaani hii thread imenielezea kabisa
 
Ukim
Daaa!! kwa mnyaturu? baba ? maji ya kunde, sijui mweupe na tujino mbinuko hivi weee!! najuwa nyaturuz wengi mko ivo!! walahi usipate shida ya

Unaongea sawa na umri wako, ukikua utaelewa
 

KWa akili Hii:

1. Hautafanikiwa kwenye ndoa.
2. Hautaweza lea watoto vyema.
3. Utakufa mpweke sana.
 
Hongera mkuu kwa uandishi mzuri,afu kwanini mwanaume anaeendeshwa na mke wake nje anakuwa mkali lakini ndani hakun kitu
 
Ukim


Unaongea sawa na umri wako, ukikua utaelewa
Ni sawa na umri wangu Mkuu!! lkn binadamu hawafanani!! mimi siyo wewe, na wewe siyo Mimi! wanyaturu woote hawafanani! ukimnyooshea mnyaturu kidole na weye jitafakari!! hapo mtaenda sawa sawia!
 
Hivi Ni mimi pekeangu sijaelewa anataka amaanishe nini hapa huyu ndugu mwandishi
Baba jifunze kupitaga tu!! ndo maana drsani wengine wengi division 0'', na wachache sana ni division one plus! lkn woote walikaa drsani waalimu wale wale !! sema ukweli kwani kuna wengine walifungiwaga nje??
 
One of the best thread 2021 to me!!
 
KWa akili Hii:

1. Hautafanikiwa kwenye ndoa.
2. Hautaweza lea watoto vyema.
3. Utakufa mpweke sana.
Imani hizi Mkuu!! yaani nipumbazwe sababu ya Kung'ang'a nia Ndoa ya mnuka kikwapa mmoja?? labda siyo mimi!! maisha yenyewe Mafupi haya!! ''Aweke pesa kwanza hapa''!! sasa raha gani Bongo! na maji ya visima hayo!! ukomae na ujinga wee!! unadhani ma CD hawa kulelewa vyema? tena wengne wasomi kukuzidi!

Kwanza jua kabisa ukitajirika, na ke'' Mmachame anaku floatisha faster hapo hapo, anajua utamuolea baadaye huko!! niwazuri kuchochea maendeleo ila ukiyapata heee!! utaisoma number..........ukimuamini yeye hakuamini!

Kufa upweke ujue weye ni mchoyo, yatima,ndugu, washirika kanisani nk, wapo tele! nenda kwa gwajima uone km utakufa mpweke! sasa ni hvi sikia wanao kufanya ufanikiwe hasa ni watu baki kabisaaaa!! si ndugu!! km wapo ni wachache mno lkn pia wanakuwekea Limit!

sawa Mkuu ndoa imefanikiwa!! sasa ndo utapata hela?? weee!! ungesema sitapata hela hapo sawa lkn siyo nyapu!!! ukiwa na hela na mashine iko vizuri watajilea wenyewe huko waliko, usicheze na kitu pesa wewe!!

Kwanza ukikosa hela ke'' hakutaki' hata uvumilie vipi!! watamzalisha wengine tu! utalea wa wengine! siku moja utajua ukweli huo mchungu, na ukimkemea Mama yao utakula kichapo si cha Dunia hii!! si wanamjua Baba yao Nyarusare Nyama hela! wataenda tu huko,

Ok! tuseme umeoa umezaa watoto weengi, ndo watapata hela auhutakufa??! hata wakipata hela wanadhitiwa na wake zao sometimes limbwata liwakae, na wasikujue kwani hujaona watoto wanakana wazazi wao?? huo ni uoga wa Maisha!
 
Hapa tutasoma tutaongea wee, ila ikifika kwa ground sasa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo kwanza wataenda kukusemea unataka kuwagombanisha
 
Mkuu unaandika kwa uchungu sana asee. Based on experience nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…