Ujue ushalogwa ndo maana wasema hivyo
Daaa!! kwa mnyaturu? baba ? maji ya kunde, sijui mweupe na tujino mbinuko hivi weee!! najuwa nyaturuz wengi mko ivo!! walahi usipate shida ya kujificha ficha mie niroge tu!! tena siku nikikupata na ukichelewa kuniroga nakwambia kabisaaaaa!! '' Eee banae niroge basi!!
Jamani hivi me' wengine mnatakaga nini? kurogwa si kupendwaa au?? ivi mnataka nini nyie watu?? !! sasa kwa nini ulitongoza usiye mpenda??! wa type yako hukuwaona???
Zee! zima unanywele kila mahali na akili timamu umwage mi grease yako hapa, ukaendeshee gari kwingine, Tena basi bila huruma ya huduma ya usafi? Mwee! in huuu! kwani ke hapendi?? mungu gani aliagiza ivo? si imeandikwa me tumeumbwa kwa mfano wa Mungu?
Sasa mfano wa mungu gani unaruka ruka?? Ke' mtu wana akili sana, tangia kulee! Edeni, Adamu pamoja na kupiga songi na Mungu, alitulizwa!! weye nani kwa ke?? ..ke akikufanyia!! anajua tu weye ni mwana sarakasi hujatulia. sasa
hapo dawa yake ni Limbwatakimahiti linakuhus!! ili ukome huko uendako!! na huchomoki hata km ukichomoka huko utakuwa km msukule tu! bora urudi hapa!
Nikuume sikio bure dogo!! wanaume wenzenu sisi huwa tunajua kabisaaa!! kuwa ''sasa narogwa!!'' nakula kadawa nikijua mwanzo mwisho!! naweka na kamsisitizokabisaa ! '' oyaa! mbona chai bado??
Wenzenu sisi mkuu siyo Madomo zege!! tunakula nyapu ile roho ina penda !! tena mbali na hayo zile classic nyapu!! kulingana na level yetu! au level ya juu hasa! yaani zile bana hazionagi shida bin taabu, ya kukukatia ticket ya go en return! to Sydney!
or somewhere else in de world!! tena basi ukifika ndo mazimaaaa!! unakuwa raia!! siyo kibongo bongo!! Ukiona mutu anaogopa limbwata la mdada!! huyo kakurupika sababu ya udomo zege wake!! sasa wee!!
fikiria tu mtu anakuhangaikia muishi maisha marefu amekupa naniliu ukaweka hivi!! lengo ni mzae mlee! km Mungu alivoagiza ili huko maishani ulelewe na uliowazaa pindi ukizeeka, wewe hutaki!! sasa unataka nini kama siyo kutulizwa??
kwa nini ulimtongoza au kumzalisha mutu ambaye humpendi? hayo ni matumizi mabaya ya rasilimali watu? lazima me'' wa hivi utakuwa umepungukiwa chembeakili! tena kilema ! sasa mdada mchawi wa Limbwata hana kosa anakurekebisha tulia tu ule ushibe!
Tena dada piga kabisa limbwata mahiti, awe anakufua hayo makalio yako pindi ukimaliza shughuli ya nyaa!! wkt una pururu yeye asubili standby nje! kwa mlango ya choo!! na kopo la maji akusafishe!! make tayari wa hivi ndo kazi zamfaa,
ili siku akikutoroka, akaseme, .... wa hivi hawaonagi taabu /aibu kusimulia walivo jambishwa kifukuto!
Me'' weye ndo unakosa kubwa unafanya zinaa! eti una sepa??? Na Mungu amekataza Zinaa!!!! naomba wa dada wote humu mnao niona , muwaroge vipanga!! ''kwa amri'' mpaka watambae kwa ulimi!! wakome...
jueni mnawaweza bana! si nyie mnatawala jiko?? unamlisha zee!! zima, unamfulia, unamlaza usingizi mnono! unamtunzia watoto, nyumba yake, mahali pa kulala! mbegu zake, yaani yeye anamwaga!! mwaa! wewe mdada unabeba mzigo huko chini! tena waweza vimba miezi tisa!! usio kuwa na faida kwako!! hivi kweli?? ngoja ....
kwa nini umchezee binadamu mwenye akili zake timamu anae run Dunia?? umgeuze! geuze ka chapati ya uswahilini! tena jua wamekuzaa,wamekulea, wamekulinda,kupa akili, hao!! fikiria tu km Mama/dadako/bintiyo, angefanyiwa ivo!! ungejisikiaje??
km ni hivo kwa nini huyu mwana wa mwenzio? yaani ummwagie mdada mzima kabisa tindikali kali hiyo! af eti usepe? bila chembe ya huruma?? wenzenu tunafanyaga kwa heshima na kumlinda kwa adabu zote na Mungu anasikia!!
bila chembe ya huruma? na wao ke' maskini ya Mungu hao hawasemi kitu! wala kutia neno humu yaani! miafrika sijui ikoje???!!! hee!! ndo Mungu aliagiza hivo? tulia urogwe!!! si ulimpenda? shida iko wapi??? hutaki!! David Cameroon ana neno na wewe!!!. si unamjua kamsome yumo humu.....