Sasa nidanganye nini Mkuu, nachokwambia ndio ukweli labda mleta mada anafanya na watu ambao sio waaminifu, lakini mimi nimefanya nao karibia kumi na zaidi sijawahi agiza nikatapeliwa hela, kuna watu online business ndo ajira zao kwahiyo kuzingua ni kazi ila sikatai wengine sio waaminifu ila mimi mpaka sasa sijawahi tapeliwa.Acha kuwadanganya wengine.
Mkuu huu ni ukweli Mtupu, na nashukuru umelieleza hapaHabari za asubuh ndugu wana jf.
Leo nimekuja kutoa mikasa miwili mitatu jinsi watu wa mikoani tunavyofanyiwa pale tunapoagiza bidhaa toka huko dar es laam.
KISA CHA KWANZA niliwah ona page 1 ya facebook & instagram ambayo inapost nguo nzuri sana za dukani hasa mashati, kwakua nilipenda basi nikachukua namba yao nikaagiza shati 4 kutokana na picha ya shati nilizozipenda basi nikawatumia whatsap waone zile shati 4 alafu wanitumie mzigo had mkoa nilipo.
NIkawatumia pesa kamili ya mzigo ila pesa ya usafiri nililipa nilipochukua mzgo. Kuja kutahamaki katika zile shat 4 nilizotuma picha anitumie ni shat 1 tu ndio niliyochagua na nyingine 3 ni shati tofauti kabisa yani mara nyingne oversize,nyngne ipo vile, nilivyompigia hakuweza kupokea tena simu.
KISA CHA PILI, nilipata mtu anayeuza simu dar , nikaagiza simu samsung a24 , ram 6 ,rom 128, nilimtumia pesa kamili ya simu na pesa ya transport, ila nilipopokea simu nilikuta ni RAM 4 rom 128, japo ni simu mpya na ni nzuri ila alileta ulaghai kwenye Ram kadr ya tulipokubaliana, nilipompigia nae hakuwa na jibu.
Hivyo basi, wafanyabiashara wa daslama, tunaomba muwe mnaenda ndani ya makubaliano, sio kila mtu anaweza kufika dar au ana ndugu dar.
Mkuu ni hatar, mm niliagiza shati kali 4, yan zinakuja shati sijawah hata ziona, na mzgo umeshafika, ni hatar, ogopa.Mkuu huu ni ukweli Mtupu, na nashukuru umelieleza hapa
KAMWE sintanunua bidhaa hasa nguo kutoka Kariakoo na Sinza Dsm kwsbb wauzaji wengi ni MATAPELI
Mimi niliagiza suti ya dogo ya harusi, na alichagua suti nzuri tu ya sh. 230,000/= yaani suti, kizibao, shati na tai...
Kilichotokea wakambadilishia shati na tai, wakampa zingine
Wapumbavu sana hawa
Mkuu ni hatar, mm niliagiza shati kali 4, yan zinakuja shati sijawah hata ziona, na mzgo umeshafika, ni hatar, ogopa.
Kuna page 1 maarufu sana fb na insta, ila nisiwataje nitawaharibia biashara.Mkuu huu ni ukweli Mtupu, na nashukuru umelieleza hapa
KAMWE sintanunua bidhaa hasa nguo kutoka Kariakoo na Sinza Dsm kwsbb wauzaji wengi ni MATAPELI
Mimi niliagiza suti ya dogo ya harusi, na alichagua suti nzuri tu ya sh. 230,000/= yaani suti, kizibao, shati na tai...
Kilichotokea wakambadilishia shati na tai, wakampa zingine
Wapumbavu sana hawa
EndeleaMimi nimeagiza mara nyingi sana kwa wauzaji wa online tofauti tofauti toka dar nikiagiza leo kesho mzigo nimepata na ukiwa tofauti huwa nawajulisha nawarudishia kwa gharama zao wanabadilisha kama hamna huwa wananipa option ya kurudishiwa hela au kuchagua bidhaa nyingine.
Sijui huwaga ni nini kwakweli kuna mmoja mpaka akampaga mke wake simu eti aniseme mzigo mbona haufiki, aiseee nilijiskia vibaya wakati tulishamalizana mpaka kaongea na wenye gari kwamba imeharibika na mizigo haiwezi faulishwa kama abiria maana inapoteaga, nilikua tayari mzigo wangu urudishwe naye nimpe pesa yake, sema konda akaniambia tulia kesho unafika kweli ulifika, akaja kurudi tena tufanye biashara nikamuambia tu asante napenda hela ila yako ni ngumu, nikamdirect kwa mtu mwingine hakuridhika akarudi tena roho ikamgomea kabisaa.Sijui huwa kuna uhusiano gani baina ya kusita sita kwa mteja na yanayotokea baada ya mteja kukubali. Misukosuko baada ya hapo ndio inanishangaza.
Wateja wa hivi usiwaaminishe sana kuwa hawajakosea kukuamini na kukuchagua wewe, the more ukijitahidi kuwathibitishia ndio unazidi kuharibu na wakaamini unafanya hvyo ili wajae watapeliwe. Uaminifu wa kweli ni bidhaa kumfikia mteja kwa wakati.
Uwe unalipia baada ya kupokea na kuukagua mzigo. Wafanya biashara wa online walio serious hufanya hivyo.Habari za asubuh ndugu wana jf.
Leo nimekuja kutoa mikasa miwili mitatu jinsi watu wa mikoani tunavyofanyiwa pale tunapoagiza bidhaa toka huko dar es laam.
KISA CHA KWANZA niliwah ona page 1 ya facebook & instagram ambayo inapost nguo nzuri sana za dukani hasa mashati, kwakua nilipenda basi nikachukua namba yao nikaagiza shati 4 kutokana na picha ya shati nilizozipenda basi nikawatumia whatsap waone zile shati 4 alafu wanitumie mzigo had mkoa nilipo.
NIkawatumia pesa kamili ya mzigo ila pesa ya usafiri nililipa nilipochukua mzgo. Kuja kutahamaki katika zile shat 4 nilizotuma picha anitumie ni shat 1 tu ndio niliyochagua na nyingine 3 ni shati tofauti kabisa yani mara nyingne oversize,nyngne ipo vile, nilivyompigia hakuweza kupokea tena simu.
KISA CHA PILI, nilipata mtu anayeuza simu dar , nikaagiza simu samsung a24 , ram 6 ,rom 128, nilimtumia pesa kamili ya simu na pesa ya transport, ila nilipopokea simu nilikuta ni RAM 4 rom 128, japo ni simu mpya na ni nzuri ila alileta ulaghai kwenye Ram kadr ya tulipokubaliana, nilipompigia nae hakuwa na jibu.
Hivyo basi, wafanyabiashara wa daslama, tunaomba muwe mnaenda ndani ya makubaliano, sio kila mtu anaweza kufika dar au ana ndugu dar.
Mkuu hawa wa dar weng wanatk ulipie kabisaUwe unalipia baada ya kupokea na kuukagua mzigo. Wafanya biashara wa online walio serious hufanya hivyo.
Jamaa ana bahati sanaAna bahati maana mikeka haichaniki[emoji1][emoji1][emoji1]
Kuna wateja hawajui kuwa sometimes kuna emergency, wao wanachojali ni matakwa yao, wateja wa hivyo hata ukimrejeshea malipo yake hawaishi kulalamika.Sijui huwaga ni nini kwakweli kuna mmoja mpaka akampaga mke wake simu eti aniseme mzigo mbona haufiki, aiseee nilijiskia vibaya wakati tulishamalizana mpaka kaongea na wenye gari kwamba imeharibika na mizigo haiwezi faulishwa kama abiria maana inapoteaga, nilikua tayari mzigo wangu urudishwe naye nimpe pesa yake, sema konda akaniambia tulia kesho unafika kweli ulifika, akaja kurudi tena tufanye biashara nikamuambia tu asante napenda hela ila yako ni ngumu, nikamdirect kwa mtu mwingine hakuridhika akarudi tena roho ikamgomea kabisaa.
Hahah hpna mkuuJamaa ana bahati sana
Hahaa kwan hii hadi sikuhz ipo??Kuna binamu yangu katuma 150k kwa rafiki yake ajiunge jeshi toka mwaka jana mwezi wa sita anasubiri,nmeamini kuna watu wanaamini misemo ya wahenga[emoji23][emoji23]
Wajinga tz wanazaliwa kila uchwaoHahaa kwan hii hadi sikuhz ipo??
Polisi ipoHabari za asubuh ndugu wana jf.
Leo nimekuja kutoa mikasa miwili mitatu jinsi watu wa mikoani tunavyofanyiwa pale tunapoagiza bidhaa toka huko dar es laam.
KISA CHA KWANZA niliwah ona page 1 ya facebook & instagram ambayo inapost nguo nzuri sana za dukani hasa mashati, kwakua nilipenda basi nikachukua namba yao nikaagiza shati 4 kutokana na picha ya shati nilizozipenda basi nikawatumia whatsap waone zile shati 4 alafu wanitumie mzigo had mkoa nilipo.
NIkawatumia pesa kamili ya mzigo ila pesa ya usafiri nililipa nilipochukua mzgo. Kuja kutahamaki katika zile shat 4 nilizotuma picha anitumie ni shat 1 tu ndio niliyochagua na nyingine 3 ni shati tofauti kabisa yani mara nyingne oversize,nyngne ipo vile, nilivyompigia hakuweza kupokea tena simu.
KISA CHA PILI, nilipata mtu anayeuza simu dar , nikaagiza simu samsung a24 , ram 6 ,rom 128, nilimtumia pesa kamili ya simu na pesa ya transport, ila nilipopokea simu nilikuta ni RAM 4 rom 128, japo ni simu mpya na ni nzuri ila alileta ulaghai kwenye Ram kadr ya tulipokubaliana, nilipompigia nae hakuwa na jibu.
Hivyo basi, wafanyabiashara wa daslama, tunaomba muwe mnaenda ndani ya makubaliano, sio kila mtu anaweza kufika dar au ana ndugu dar.
Nmekuelewa mkuuKiongozi inabidi uokoke kabisaaa maana yawezekana ulifanya biashara na malaika bila kujua! Vijana wa bongo dasalama sio wakumuazima hata pumzi yupo tyr akue kabisa
FactKwahiyo Watanzania wote huwa mnaenda China hamtumii Ali Baba?
Naona wengi mnamtowa akili mleta mada lakini Mimi naona Yuko Sahihi.
Naweza kufanya biashara na Mshana Jr Bila hata kuonana naye, naamini Mshana hawezi kuharibu reputation yake JF Kwa sababu ya biashara ya million hata kama anatumia I'd bandia.
Kuna namna ya kufanya biashara na mtu usiyemjuwa na ukawa salama tu.
Hivi Leo nimuagize kitu Kiranga Marekani cha dola 500 akimbie I'd na heshima kubwa aliyonayo hapa JF Kwa sababu ya dola 500?
Kwa mifano hii michache nadhani mtaelewa kwamba dunia tuliopo individuals huwezi kutumia letter of credit ya benki kupata huduma, na supplier hawezi kudeliver service Bila pesa yake, kwahiyo ni wajibu wako kufanya biashara na watu Sahihi na namna ya kupata watu Sahihi Zipo.
Anacholalamika mleta mada hata Japan kulikuwa kinafanyika, kwenye internet unapostiwa gari lakini huoneshwi dosari zake, walipokuja Be forward wamefanya mapinduzi kama gari ina scratch wanakuonesha kabisa ndio sababu ya Be forward kuliteka soko, uadilifu.