Jinsi watu wanavyotongozana JF

Yeah wanaofanya hivi wanakuaga wanaume flani matured, wenye tabia za kiume,yani ni real men....
Mbarikiwe sana real men kokote mliko, muongezewe zaidi mnapotoa.
(Basi vikware hapa vitanyapia baadae vipige uturn pm vijifanye navyo ni vi real men)
Hahahaha.. Eti real men kisa wanagawa hela.. Na mm nataka niwe real man eti. Heb nitumie no dm nikutumie hata japo ka laki ka weekend na mm niingie kundini.
 
umekula wangapi?
 

Naja unipatie mafunzo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…