King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Wana matatizo ya akili hao ,yaani mtu aweke Avatar ya Kylie Jenner au Christina Millian ndio azimikiwe?hahaha watu wazimika sababu ya avatar, na miandiko sembuse likes...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana matatizo ya akili hao ,yaani mtu aweke Avatar ya Kylie Jenner au Christina Millian ndio azimikiwe?hahaha watu wazimika sababu ya avatar, na miandiko sembuse likes...
Unatoa image Fulani siyo nzuri kivile,samahani lakini umeolewa au bado ! ! !,Tuanze hapo kwanzaYeah wanaofanya hivi wanakuaga wanaume flani matured, wenye tabia za kiume,yani ni real men....
Mbarikiwe sana real men kokote mliko, muongezewe zaidi mnapotoa.
(Basi vikware hapa vitanyapia baadae vipige uturn pm vijifanye navyo ni vi real men)
kuna mbaba humu mchachu km wasira!jaman akishasikia manengelo anaenda kula anatuma salio jama had raha!na aatuma ahd ya kutolea!rahajeee!
Hii inawezekana kwakweli, kuna real man huwa nikiona like yake najisikia kama nmekunywa fanta passion japo sina mawazo yoyote mabayahahaha watu wanazimika sababu ya avatar na miandiko, sembuse likes...
kuzoea zoea watu mwisho uta zoea majini.Oooh ngoja nianze kujb PM. Lakn nyingine zinaboaa mtu anakuuliza uko wapi ukimjb tu anaomba namba ya Simu Chaaaa mtakutana na Mashetani yanayonyonya damu za watu.
Image ipi, sio tu kuolewa nmeoaUnatoa image Fulani siyo nzuri kivile,samahani lakini umeolewa au bado ! ! !,Tuanze hapo kwanza
Wana matatizo ya akili hao ,yaani mtu aweke Avatar ya Kylie Jenner au Christina Millian ndio azimikiwe?
HahahaImage ipi, sio tu kuolewa nmeoa
Naomba tofauti kati ya real men and non real menImage ipi, sio tu kuolewa nmeoa
I mis you honey.Inahitajika approach nzuri hata kama mtu ni broke a.s.s sio kuja vuuuuu kama kibajaji
Kutongoza mtandaoni means umekubali kubet hapo ni mawili KULA au KULIWA!!!
Aiseeeee basi watakuwa zaidi ya Dr. Shika au Nabii Tito.people are strange, ndo maana watu wengi humu ndani wanajaribu kuweka avatar za watu wanaovutia. Ujue its working...
Miss you more baba S, umeadimika sana my dear...I mis you honey.
Daaaaa ndio maana Facebook wanaliwa sana pesa za NAULI 😀😀😀😀😀😀.Wapo wengi sana Mkuu yani kuliko unavyofikiria.
Ukisoma nlichoandika nmewaelezea real men walivo na wakware walivoNaomba tofauti kati ya real men and non real men
😀😀😀😀😀😀😀😀 my ribsDaaaaa ndio maana Facebook wanaliwa sana pesa za NAULI 😀😀😀😀😀😀.
At the end ikawaje mammy.. Au umebarikiwa kuliko wanawake wote[emoji85]hahhahha eve leo nakugawa rasmi.... xmas nilitumiwa wine 3 dadeq!kwa njia hyo hyo!jimiminia weeeee!dadeq!
siku nyingne katokea jamaa ...nikamwambia sijafika job usafiri leo sina!why mamy!nikamwambia ah bima imeisha!naogopa trafk...hela ya bima hyoooo!ila hz technique waanweza wale wakaka age fulan!safiiiii!
Leo nimeokota pochi la mzungu kesho friday wapi tukale dompo na nyama chama choma?Miss you more baba S, umeadimika sana my dear...
Hahaaaa wakiona mtu kaokoteza picha za demu mkari kaweka profile picha wao wanaingia kichwa kichwa kumbe wanachat na dume 😀😀😀😀😀😀.😀😀😀😀😀😀😀😀 my ribs