Jinsi watu wanavyotongozana JF

Jinsi watu wanavyotongozana JF

Yeah wanaofanya hivi wanakuaga wanaume flani matured, wenye tabia za kiume,yani ni real men....
Mbarikiwe sana real men kokote mliko, muongezewe zaidi mnapotoa.
(Basi vikware hapa vitanyapia baadae vipige uturn pm vijifanye navyo ni vi real men)
Unatoa image Fulani siyo nzuri kivile,samahani lakini umeolewa au bado ! ! !,Tuanze hapo kwanza
 
Oooh ngoja nianze kujb PM. Lakn nyingine zinaboaa mtu anakuuliza uko wapi ukimjb tu anaomba namba ya Simu Chaaaa mtakutana na Mashetani yanayonyonya damu za watu.
kuzoea zoea watu mwisho uta zoea majini.

=====
Sijakujibu kama mtoa mada alivyosuggest bali nilitaka kukazia huo msemo.
 
hahhahha eve leo nakugawa rasmi.... xmas nilitumiwa wine 3 dadeq!kwa njia hyo hyo!jimiminia weeeee!dadeq!

siku nyingne katokea jamaa ...nikamwambia sijafika job usafiri leo sina!why mamy!nikamwambia ah bima imeisha!naogopa trafk...hela ya bima hyoooo!ila hz technique waanweza wale wakaka age fulan!safiiiii!
At the end ikawaje mammy.. Au umebarikiwa kuliko wanawake wote[emoji85]
 
Back
Top Bottom