Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Evelyn SaltHebu mtonye aje dm na no nitume ufe kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ES bhana.Wazee wa pm direct ifike mahali mjifunze kutongoza, mnakera mnafanya watu wafunge pm kwa viujinga vyenu!!!
Wakati unazama pm make sure umemsoma soma kidogo unaemfata yukoje, huwezi jua kila kitu ila hukosi hata kimoja, yani kama mie hivi nnavojitahidi kuandika kwa ufasaha kuna kibushuti kinakuja kuniandikia "xaxa, kipande ip, ixhu znasmje" mxyuuu (nmetoa mfano sijakaribisha), hadi hapo pm yako tayari ni ushuzzz
Make sure umepanga mistari sio misalaaaamu mambo, uko poa, ishu vipi, mishe inaendaje huu nao upimbi.
*nafundisha kutongoza bure
Teh hebu anipishe, azipeleke ofisi ya Kata nitazifata huko.
ππππππTeh hebu anipishe, azipeleke ofisi ya Kata nitazifata huko.
i had forgotten to add this in. sometimes a like, is just that, a like. Nothing more, nothing less.wengine wana flirt tu hapa JF,wakifunga computer zao ni baba/mama/mume/mke wa mtu...likes zisikuhadae ..mtu anaweza akakukubali kwa points zako na hivyo kukupa likes bila kuwa na maana nyingine Zaidi ya hio like tu...
Teh!hahhahahahahaha na kukuuliza upo wapi
Ukigeuka mambo, ukijipindua mambo, kesho mambo, mwezi ujao mambo..... Ehuu hadi unatamani kumwambia ndugu yangu kanisalimie kupitia RFA (Radio free Africa)
Nakazia.wengine wana flirt tu hapa JF,wakifunga computer zao ni baba/mama/mume/mke wa mtu...likes zisikuhadae ..mtu anaweza akakukubali kwa points zako na hivyo kukupa likes bila kuwa na maana nyingine Zaidi ya hio like tu...
hawataki" mapenzi salamu" kutwa kucha pm" kinachowapeleka " kuwajulia hali tu ...hahaaWadada wa watu masikini hadi wamefunga pm zao
Haaaa. Ni ndogo nipande dau? Nataka u real man kweli yani...Teh hebu anipishe, azipeleke ofisi ya Kata nitazifata huko.
Nakubaliana na wewewengine wana flirt tu hapa JF,wakifunga computer zao ni baba/mama/mume/mke wa mtu...likes zisikuhadae ..mtu anaweza akakukubali kwa points zako na hivyo kukupa likes bila kuwa na maana nyingine Zaidi ya hio like tu...
Naunga mkono hoja.wengine wana flirt tu hapa JF,wakifunga computer zao ni baba/mama/mume/mke wa mtu...likes zisikuhadae ..mtu anaweza akakukubali kwa points zako na hivyo kukupa likes bila kuwa na maana nyingine Zaidi ya hio like tu...