Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Leo nimeokota pochi la mzungu kesho friday wapi tukale dompo na nyama chama choma?
Ni kweli kabisa hilo nalo neno.Location pm, watu wasije kutunyapia nyapia tukashindwa kula kwa raha...
Kuna watu bhana, ni wabahahili,wanaotafuta kupiga hatua na sio kwamba hela hawana ila waanazo,but ni wabahili wa kutaka kufanya maendeleo hao VIP ni real men au sio real menUkisoma nlichoandika nmewaelezea real men walivo na wakware walivo
Mi nilijua wanaume tu ndo hatupendi uandishi huo wa kike kumbe kuna wadada hampendi zile sijuiWazee wa pm direct ifike mahali mjifunze kutongoza, mnakera mnafanya watu wafunge pm kwa viujinga vyenu!!!
Wakati unazama pm make sure umemsoma soma kidogo unaemfata yukoje, huwezi jua kila kitu ila hukosi hata kimoja, yani kama mie hivi nnavojitahidi kuandika kwa ufasaha kuna kibushuti kinakuja kuniandikia "xaxa, kipande ip, ixhu znasmje" mxyuuu (nmetoa mfano sijakaribisha), hadi hapo pm yako tayari ni ushuzzz
Make sure umepanga mistari sio misalaaaamu mambo, uko poa, ishu vipi, mishe inaendaje huu nao upimbi.
*nafundisha kutongoza bure
Wazee wa pm direct ifike mahali mjifunze kutongoza, mnakera mnafanya watu wafunge pm kwa viujinga vyenu!!!
Wakati unazama pm make sure umemsoma soma kidogo unaemfata yukoje, huwezi jua kila kitu ila hukosi hata kimoja, yani kama mie hivi nnavojitahidi kuandika kwa ufasaha kuna kibushuti kinakuja kuniandikia "xaxa, kipande ip, ixhu znasmje" mxyuuu (nmetoa mfano sijakaribisha), hadi hapo pm yako tayari ni ushuzzz
Make sure umepanga mistari sio misalaaaamu mambo, uko poa, ishu vipi, mishe inaendaje huu nao upimbi.
*nafundisha kutongoza bure
kula likewengine wana flirt tu hapa JF,wakifunga computer zao ni baba/mama/mume/mke wa mtu...likes zisikuhadae ..mtu anaweza akakukubali kwa points zako na hivyo kukupa likes bila kuwa na maana nyingine Zaidi ya hio like tu...
Unazunguuuuuka....wakati unaweza tuma meseji moja tu ikakutambulisha we ni nani, upo wapi, unahitaji nini. Tena ukivizia sikukuu huyo mrembo amekwisha
"Hello miss, uko poa vipi maandalizi ya sikukuu....nmekuandalia japo visenti upate wyne sasa utapataje"
Sie wapenda hela lazma vinyweleo visimame, halafu hivo visenti viwe kuanzia laki koh koh sijui nimtag kaka mwenye hii technique!!!
Hey ladies vikware vitacopy vije kuapply msivipe namba havina kitu vimebeba pmb tu.
Labda tukifikia hatua ya kupeana namba za simu na tuwe tunaongea ndipo naamini kama ni mwanamke.
Ila hata hivyo bado napenda tu Avatar za ke, japo naishia kuwa mpenzi mtazamaji.
Wazee wa pm direct ifike mahali mjifunze kutongoza, mnakera mnafanya watu wafunge pm kwa viujinga vyenu!!!
Wakati unazama pm make sure umemsoma soma kidogo unaemfata yukoje, huwezi jua kila kitu ila hukosi hata kimoja, yani kama mie hivi nnavojitahidi kuandika kwa ufasaha kuna kibushuti kinakuja kuniandikia "xaxa, kipande ip, ixhu znasmje" mxyuuu (nmetoa mfano sijakaribisha), hadi hapo pm yako tayari ni ushuzzz
Make sure umepanga mistari sio misalaaaamu mambo, uko poa, ishu vipi, mishe inaendaje huu nao upimbi.
*nafundisha kutongoza bure
hujawahi kuniangusha
yaani hata unipige mtama sianguki
nakupenda sanaaa
japo hunijibu pm zangu
Watu walishayasemaga haya zamani humu
hhahahah bahat mbaya npo mbali na mikoa maarufu!nadamshi tu !wa kunifungia safari ajipange !maana its farAt the end ikawaje mammy.. Au umebarikiwa kuliko wanawake wote[emoji85]
Hahahahahahahahahahahahahahahhaah Umemlipua eeeh
Ukigeuka mambo, ukijipindua mambo, kesho mambo, mwezi ujao mambo..... Ehuu hadi unatamani kumwambia ndugu yangu kanisalimie kupitia RFA (Radio free Africa)
Msema kweli mpenzi wa Mungu.Madame B yana ukweli haya?
Image ipi, sio tu kuolewa nmeoa
Wall nzima imejaa mambo, sijui mzima, nambie, hujambo.Mwingine anakutumia "niambie" sasa nikwanbie na wewe ndio umenitafuta!! Nikikwambia kafie mbele utaniona wa ajabu kweli!!!