Jinsi watu wanavyotongozana JF


Hahaha... punguza ukorofi mahondaw wangu...
 
Mkuu nieleweshe mfano smart kachoka chalii hana michongo ya pesa kaisha, ile ukimwona humtofautishi na teja, vp hapo malavu lavu yatakuwaje au unaomba mungu yasitokee, maana mungu naye anapenda kweli kutia kidole kwenye maji yaliyotulia

Mi nna case mbili tatu za mdingi alikua anapiga kazi benk kuu alivyotumbuka mama akakimbia na watoto hajazoea kuishi km vile

Case yako vp
 
wengine wana flirt tu hapa JF,wakifunga computer zao ni baba/mama/mume/mke wa mtu...likes zisikuhadae ..mtu anaweza akakukubali kwa points zako na hivyo kukupa likes bila kuwa na maana nyingine Zaidi ya hio like tu...

Talking about flirting....
 

I like you and i love you... sioni shida kukupa chochote ilihali nakupenda... Hasara roho peke yake pesa ni makaratasi tu mahondaw wangu... nazitafuta na kuzipata ili uzitumie...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…