Jinsi watu wanavyotongozana JF


Nakumbuka sana mahondaw wangu... kwenye maongezi nikakurushia pesa... ukairudisha na maneno makali juu, nikadhani ndogo, nika-ii- double nikakurushia, ukairudisha tena yote... nikabaki natabasamu mwenyewe... nikai-triple tena nikakurushia, ukakaa kimya... nikasema kama kweli huzitaki hizo pesa mpe mtu yoyote au kesho sehemu fulani tuonane unirudishie mkononi...
 

Hahahahaha.. mkuu acha tu yani Smart911
kufilisika sio leo wala mtondogoo..
 


tehteh .. usinikumbushe love yaniiiiiii natamani Ile siku ijirudie kwakweli it was a unique day in my life I never forget.... Smart una makusudi jamani dahhhhhhhhhh!! Seriously umependelewa sana
 
proudly to have you my king... thanks sana smart kila siku nakuombea mungu akuzidishie smart wangu..
Kila ukimuombea, usisahau kujiombea pia. Coz unaweza kumuombea abarikiwe halafu akishabarikiwa sana mnaachana huku wewe huna baraka zozote...teh teh kidding!!!
 



Weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nampaje tu mtu hela yote Ile awamu hii?? Ila una majaribu sana smart afu wajitia huna hata time namimi mwenyewe lol nuksi sana love Nikaanza kukutafuta mimi sasa mweh!
 
Ngoja nianze kukoment kwa huyu.




Ila kiukweli nimemmisi miss chagga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…