Wazigua, wabondei, wasambaa wengi maji ya kunde, wazuri sana. Tatizo la watu wa Tanga bwana, aaaah!!!!
Asante...!umesema nikunjue nafsi!nimeikunjua
Nini siri wanawake hayo makabila kujaa jf?Wazigua, wabondei, wasambaa wengi maji ya kunde, wazuri sana. Tatizo la watu wa Tanga bwana, aaaah!!!!
Daah,sijawahi kufeli mtihani...!wewe km paper inaonekana utafeli
Huu nao mtihani mwingine...Mimi kuna njia huwa naitumia kujua kama nimdhaniaye KE ni KE kweli au miyeyusho.Usije kukusea mlango, unaweza ona comments iliyoandikwa ukajua ni Dada kumbe ni jamaa,,,,,
Daah,hisia kiti cha ajabu sana.Nakumbuka sana mahondaw wangu... kwenye maongezi nikakurushia pesa... ukairudisha na maneno makali juu, nikadhani ndogo, nika-ii- double nikakurushia, ukairudisha tena yote... nikabaki natabasamu mwenyewe... nikai-triple tena nikakurushia, ukakaa kimya... nikasema kama kweli huzitaki hizo pesa mpe mtu yoyote au kesho sehemu fulani tuonane unirudishie mkononi...
Afadhali...angalau tumepata promo.Wazigua, wabondei, wasambaa wengi maji ya kunde, wazuri sana. Tatizo la watu wa Tanga bwana, aaaah!!!!
Mpwa, mimi nawapenda ujuwe!!!Afadhali...angalau tumepata promo.
Waooooo.....Mpwa, mimi nawapenda ujuwe!!!
Hahaha wew shemela hujaacha mambo yako...Hawana hela shuziii tupu mm huwa najibu I'd kongwe kongwe tena hazina hata likes wala kucomment kwenye threads zangu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We mwanamke umepinda....Wazee wa pm direct ifike mahali mjifunze kutongoza, mnakera mnafanya watu wafunge pm kwa viujinga vyenu!!!
Wakati unazama pm make sure umemsoma soma kidogo unaemfata yukoje, huwezi jua kila kitu ila hukosi hata kimoja, yani kama mie hivi nnavojitahidi kuandika kwa ufasaha kuna kibushuti kinakuja kuniandikia "xaxa, kipande ip, ixhu znasmje" mxyuuu (nmetoa mfano sijakaribisha), hadi hapo pm yako tayari ni ushuzzz
Make sure umepanga mistari sio misalaaaamu mambo, uko poa, ishu vipi, mishe inaendaje huu nao upimbi.
*nafundisha kutongoza bure
HenshamHandsome?
Unataka kunikopa?
SidhaniiMkuu na wewe Mr Romantic unatanguliza 100,000/-?
EeehHahaha, PM tena!
Ile umekula akijibu bado unamtumia 50k kwanza akale mtotoHapana mkuu, sijawahi kua mtaalam wa haya mambo!
Mimi ni mwendo wa salamu tu. Mambo? Niambie! Umeamkaje? Umekula? Unafanya nini? Na mengineyo..
Sasa mtu hataki kujuliwa hali anataka nini kingine?
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Kidding....
Weeee. Atakua tununu basi. Ngoja na Mimi niende nikaoneHa ha. Ha ha wewe ndio wale salamu kama dozi,asubuhi mchana jioni?! Ila nakuaminia hutumii nguvu wanakuja wenyewe tu.
Tatizo letu nini??Wazigua, wabondei, wasambaa wengi maji ya kunde, wazuri sana. Tatizo la watu wa Tanga bwana, aaaah!!!!
Tumekimbia umande sasa muda mwingi tuko idleNini siri wanawake hayo makabila kujaa jf?
Siri yangu!!Tatizo letu nini??
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] sanamu la MichelinWaweza kuta huyo demu wake anasura nzito kama uji wa mtama,shepu haieweki kiuno kiko wapi wala tako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]