Jinsi watu wanavyotongozana JF

Kwani wanawake wa humu wanatoka Pluto? Hawa wa mitandaoni ndio hao hao wako mtaani offline.
Sasa unamtongoza mtu humuoni na hujawahi muona pia hata picha wanazoweka ni wachache huwa wanaweka picha zao wengi wanaweka picha za watu! Siku sasa ukimwita aje muonane badala ya kuja Ghati ulimuona unashangaa unamuona Rhobi ambae humjui kabisa
 
JavaScript is disabled. For a better
experience, please enable JavaScript
in your browser before proceeding.
 
Sasa unamtongoza mtu humuoni na hujawahi muona pia hata picha wanazoweka ni wachache huwa wanaweka picha zao wengi wanaweka picha za watu! Siku sasa ukimwita aje muonane badala ya kuja Ghati ulimuona unashangaa unamuona Rhobi ambae humjui kabisa
It doesnt work that way. Its a long process mpaka kukubaliana kuonana mshafahamiana vizuri. Ukikurupuka ndio mtakimbiana.
Inaanzia kwenye thread>PM>Simu(Wsap)>Picha>Kuonana live>whatever u decide.
 
Ukila 50k yangu niliyoipata kwenye kazi yangu ya kubeba zege alafu uninyime "chiu" walahi nakuloga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…