Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
ila nimeisoma mara 3 hii txt yako umeiandika kwa hisia kali sana!kweli wanaume jaman mmepishana sana sana!ht mm bahat mby ningekuwa men wala isingeniuma!....pole sanaHahaah pesa niliyoitafuta kwa jasho uile hivihivi..inaumaaa
Hamna mwanaume ambaye hawazi hela yake, hata km kaiokota jalalani hawez kumpa tu mwanamke just for fun, ni uwekezaji unaotakiwa kuleta manufaa, km tu kuhonga rahisi mbona mwisho wa siku ukiachana na dem akikuomba hiyo 50 unaanza kujifikiria km umpe au umvungie,Ukila 50k yangu niliyoipata kwenye kazi yangu ya kubeba zege alafu uninyime "chiu" walahi nakuloga
kuuma inadepend na umeipatajepataje iyo pesa..mtu umefanya kazi ngumu kwa jasho umepata icho kidogo alafu mtoto wa kike kwa kutumia uzuri wake anakuja kukichomoa hicho kidogo ulichopata...hata wewe ungekuwa man lazima iume saana tuila nimeisoma mara 3 hii txt yako umeiandika kwa hisia kali sana!kweli wanaume jaman mmepishana sana sana!ht mm bahat mby ningekuwa men wala isingeniuma!....pole sana
Wote tunawaza but wengine wanawaza sana and wengine kidogoHamna mwanaume ambaye hawazi hela yake, hata km kaiokota jalalani hawez kumpa tu mwanamke just for fun, ni uwekezaji unaotakiwa kuleta manufaa, km tu kuhonga rahisi mbona mwisho wa siku ukiachana na dem akikuomba hiyo 50 unaanza kujifikiria km umpe au umvungie,
Utumwa wa mapenzi huo, kuna watu huwa hawawez hata kumtumia mama yake pesa ila wee kwa madem anafungua benki,Wote tunawaza but wengine wanawaza sana and wengine kidogo
Sponsor hauna kashidano kengine tena? Nimemiss mizawadi ya ku-upgrade status mweehIt doesnt work that way. Its a long process mpaka kukubaliana kuonana mshafahamiana vizuri. Ukikurupuka ndio mtakimbiana.
Inaanzia kwenye thread>PM>Simu(Wsap)>Picha>Kuonana live>whatever u decide.
Sponsors hawajakurushia ka-laki huko PM?!Sponsor hauna kashidano kengine tena? Nimemiss mizawadi ya ku-upgrade status mweeh
Sponsors hawajakurushia ka-laki huko PM?!
Jipange...Mmmh mwenzangu sijawahi, sijui ndo gundu au sina hadhi ya kupewa laki hehehe
Jipange...
Pesa zinazoongoza kwa kutoka kirahisi ni zile zilizopatikana kwa shida sana na zile zilizopatikana kwa urahisi sana.Ukila 50k yangu niliyoipata kwenye kazi yangu ya kubeba zege alafu uninyime "chiu" walahi nakuloga
Kama dawa vileMmh ngoja nizisubirie tu hizi za salamu kutwa mara 72
Mnawakatisha tamaa vijana...Mmh ngoja nizisubirie tu hizi za salamu kutwa mara 72
Hahaha, Mkuu huwa nakuelewa sana humu ndaniMnawakatisha tamaa vijana...
Hahahah hatari sanaKama dawa vile
Na mimi huwa nakuelewa sana....Hahaha, Mkuu huwa nakuelewa sana humu ndani
Sasa jamani nimeamka asubuhi inabidi nikusalimie, baadae tena tukiwasiliana si inbidi nianze na salamu au?Hahahah hatari sana
Wala wasiogope, hakuna mkate mgumu mbele ya chaiMnawakatisha tamaa vijana...
Chai ndio zile laki si pesa?!Wala wasiogope, hakuna mkate mgumu mbele ya chai