Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
ila nimeisoma mara 3 hii txt yako umeiandika kwa hisia kali sana!kweli wanaume jaman mmepishana sana sana!ht mm bahat mby ningekuwa men wala isingeniuma!....pole sanaHahaah pesa niliyoitafuta kwa jasho uile hivihivi..inaumaaa