Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Dah kuna siku na utu uzima wangu huu niling'ata vidole kisa hii technique na hapa ni keyboard ndo imeongea, angekua live je ningechimba vishimo na kuchuma majani ya miti, bwana niokoeeeeeHahahaaa!!! Daaamn girl, hii technique kwa sie wapenda hela hatuchomoi kabisa. Hivi hamna sikukuu karibuni!!!
all the tymVip wine unatumia au mpaka Christmas?
Asante kwa ufafanuzi,boss.Trust me, ukiwa makini mwanamke unamjua tu maana kupretend na kuwa real ni vitu viwili tofauti kabisa.
Mfano yule wa kujiita sexless angalia mwandiko wake unajua kabisa hili ni dume.
Unaonaje nikupe japo 3 over the weekend?all the tym
shaka hakunaUnaonaje nikupe japo 3 over the weekend?
Huyo ni mpenzi msalimiajiPm kwa ev unatafuta nini?
Ha ha ha imebidi nicheke tuOh Mungu wangu, by the way you sound charming&Convincing. (Xaxa,kipande ipi[emoji16][emoji16])
Unafanya zoezi la kutongoza tehNina laki 3 hapa viph unaweza ifata ukanunulie
Kweli ipo kama upo fresh utaniambia tu sawaUnafanya zoezi la kutongoza teh
Tutapatana, naona tunapeana likes ukichelewa kuja pm nakuja mieEti kama mimi ninavyokupa like ndo nitakupata??
Tutapatana, naona tunapeana likes ukichelewa kuja pm nakuja mie
Mtego ukitiki wine moja kwanguUnaonaje nikupe japo 3 over the weekend?
Yaani wewe ni km mbuzi tuHivi mimi ni popula ..au popular au pola
Mbuz ya kisasa ila ..Yaani wewe ni km mbuzi tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hadi unatamani kumwambia atume salamu kupitia RTD(kwa sauti ya eve)Msg kumi zote salamu, hadi unatamani umtusi.
Es, (Supper agent ) nina special gifts for you, ushauri wako unahitajika jinsi itakavyokufikia.Mtego ukitiki wine moja kwangu
Make hapo unapata mbebs kwa hisani ya Es (dalali).
Hutaki laki wewe mrembo? ???[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hadi unatamani kumwambia atume salamu kupitia RTD(kwa sauti ya eve)