Jinsi wenye mafanikio wanavyotudanganya

Ukiwa na kipaji hufi na njaaa usitolee mfano watu wenye kipaji kama soka, kuimba nk..

Tutoleee mfano mtu aliyeanza na kapu la karanga la efu kumi, au chapati au pipi afu akaja kuwa bilionea step by step bila kufichaficha[emoji28]
 
Upo sahihi kabisa!
 
Watu wengi sio wakweli. Utakuta mtu ana bodaboda mbili anakupigia mahesabu kwa mwezi kila boda moja inamuingizia 300,000 which means kwa siku ni 10,000. Sasa kanunue wewe uone,unakuta faida sio ile ulioaminishwa. Dereva pasua kichwa. Mwisho wa siku utaishia kuiuza tu. Don't believe everything you hear. People don't share their struggles.
 
Moja ya kauri ya kijinga ni hii ya taranta, hakuna anayezaliwa na taranta ya Biashara ila tunapata kila Day wanaibuka wafanya Biashara wenye njaa na ubunifu kwasababu ya njaa ya pesa.

Njaa ya pesa/mafanikio inakupa taranta ya kila biashara hapa duniani Ukulima, Engeener, Ufundi, Upishi, Udereva nk

Asikwambie mtu fuata taranta sijui passion ni ujinga angalia pesa ipo wapi chora mikakati ya kuiendea ifuate ukionja utamu wa pesa utakuwa na passion na hicho kitu.

huwezi kuwa timamu eti uwe na taranta sijui passion ya kuogerea je umeona mtu yeyote Tz aliyefanikiwa kwenye hiyo nyanja hakuna je wapo walofanikiwa kwenye kilimo ndio wapo kibao weka mtaji kachukue Captivator, Harvester nk kalime mikese huko utafanikiwa na utakuwa na passion na kilimo ukionja pesa tu watu kibao wote watakula mazao yako sasa kwenye kuogerea utaishia kufa masikini tu.
 
Hahaha!! Hao ni motivational speakers wa kibongo ndio wanawadanganya hivyo. Nyambaf zao!!!
 
utajiri ni KARAMA, asikudanganye mtu, HATA ukopi maarifa aliyofanya tajiri fulani kwa asilimia 100% haikuhakikishii kufankikiwa hata kwa 1 %, , hata ukopi maneneo ya '' motivational speaker '' kwa 100% na kuyafanyika kazi, hayakuhakikishii kufanikiwa hata kwa 1 %,
 
Rudia kusoma nilichoandika
 
Izo karama zinakuja kwaaliye fanya izo njia kwa ufanisi ndio anapewa nafasi ya kuwa tajiri au asiwe tajiri, ila kama umekaa bila kufatisha chaguo lako linakuwa moja kukosa tu.
 
Kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…