Kuna huyu Shamimu Mwasha, yeye alianza kuwa mpiga picha tu ila baada ya kuolewa na jamaa fulani mjanja wa mjini ghafla akawa tajiri na kudanganya wanawake wenzake juu ya vikoba.
Ukifuata fumular atakayebaki ni Mungu tu aamue asiamie ila kama ukipata pesa unanunua supu tu huangaiki na kupata backup utakula aisikilimu hadi uzee.
Mkuu tufanye nini kajamba nani au ndio tusubiri kufa?
Bakhresa alikuwa fundi viatu!Eti Mengi alianza kwa kuuza karanga, hii fix
Karanga hizi hizi za mia.mia[emoji2957]
Huyo si ana kesi ya sembe yeye na mumewe
Mmh[emoji849][emoji2957]
Mengi alikua anafanyakazi PWC the best auditing firm na kasoma UK so mpunga alikua nao acheni kujidanganyaMengi alianza na Ball point pen na mtaji wa kwanza ulikuwa Idea wapili negotiation na wazalishaji pen walivyokubakiana wa import mzigo faida ikisomeka awawsilishie pesa.
Ndio tena kwa miaka 14 akiwa mkurugenzi
Alikuwa anawadanganya wanawake wenzake kuwa anafanikiwa kutokana na kujiunga na vikoba sijuwi upuuzi gani, sie wengine tulikuwa tunajuwa kila kitu kuhusu yeye hata kabla hajaolewa na muuza unga.
nice one start buttomOverrated ume genelize sana, mbona mifano ya walioanza chini wapo kibao Regnarld Mengi kaanza from Zero kabisa Mamayake alikuwa muuza mboga tu, MarkZuck, Elon Musk kaanza Zero kaanza Zero, hapa Tz wakina Bruno Smartcode wameanza Sayansi. Pia usifosi kuangalia ma Billionaire iyo level kubwa sana vijana kibao umewashuhudia kwa macho yako wanatoka form Zero kabisa DIAMOND PLATNUM.. Mifano ipo mingi.
Kunzia chini inawezekana ukapanda mdogomdogo ila njiani utakutana na backup mbalimbali/nyingi zitakazo ku-push kwenda fasta na safari yako ila ukikaa tu bila kuanza izo backup hutozisikia mfano Harmonize ameanzia chini ila kwenye njia amepata Backup kutoka kwa MOND ukiwa na resources zinazokuwezesha kuanza anza mkuu...
Fanya wewe kama wewe sio kusikia kwa kudanganywa na watu wanaosema nilianza na mtaji wa laki sijui maisha ni polepole,sijui kidogo ndio kingi..n.k.!?
Hii ni picha ya babu wa Aliko Dangote, Sanusi Dantata. Alikuwa mmoja wa matajiri zaidi nchini Nigeria, katika miaka ya 70.
Pia Baba wa Dangote pia alikuwa tajiri barani Afrika mnamo 1955
Aliko Dangote alizaliwa katika familia ya bilionea, usiruhusu msemaji yeyote wa motisha akuue. Unajaribu wewe sio kudanganyika na hao.View attachment 1226392
Hongera mkuuNdio mkuu,mpaka leo ni miaka 16 sasa naishi kama malaika,kutokea kuuzavitumbua mpaka kumiliki majumba,mashamba na magari kedekede
Hongera mkuu
I have a brother who was selling sweets sasa hivi nui Bilionea. The issue here is not how much you make but how much you save.
Napambana mkuu lazima wajukuu zangu waje warithi mikwanja na miradiNa hao babu zao walizitoa wapi?
Kwa nini wewe usihangaike ile wajukuu zako waje wazirithi hizo mali