feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 7,683
- 15,128
Huyo si ana kesi ya sembe yeye na mumewe
Kuna huyu Shamimu Mwasha, yeye alianza kuwa mpiga picha tu ila baada ya kuolewa na jamaa fulani mjanja wa mjini ghafla akawa tajiri na kudanganya wanawake wenzake juu ya vikoba.