Jinsi wenye mafanikio wanavyotudanganya

Ila bado ni bora, maana si wote waliopata urithi walifanikiwa, wengi ziliwaishia mapema.
 
Mengi alianza na Ball point pen na mtaji wa kwanza ulikuwa Idea wapili negotiation na wazalishaji pen walivyokubakiana wa import mzigo faida ikisomeka awawsilishie pesa.
Unavyoongea as if he was ur business partner...the rich wana alot of businesses 'behind the scene'
 
Mie yupo namfahamu mwingine yupo kwa oilcome pale mwananchi. Ila aliandika kwenye gari yake "winning is not that easy"
I have a brother who was selling sweets sasa hivi nui Bilionea. The issue here is not how much you make but how much you save.
 
Angalau hii comment imerudisha matumaini yangu ANZA NA ULICHONACHO
 
we usijiangalie unapoenda na ulipotoka

kaa kuangalia flani katokaje na yuko wapi
 
Nina hakika ulichokiandika hapa hautopendwa kamwe humu
 




Ww ni kati ya watu adimu sn hapa Tzee..!
 

Nadhani mifano yk ina mkanganyiko.
MOND, HARMONIZE Wameingiaje? Mkuu
Mafananiko ya hawa jamaa ni yakawaida auwezi kufananisha na MENGI..
 
Mmh jamani pipi hizi hizi alikuwa anasave kwa njia ipi mpya please share


Ndugu yangu kuna visites vingi sn vinafundisha jinsi ya kusave .tembelea mitandaoni km una nia utaweza....mimi pia najifunza kusave ingawa najipa km 70% nimeweza...ni kujitoa haswa wnasema tumia 1|3 then 1|3 kusave 1|3 kuitumia kibiashara....ukifanikiwa hvyo unafika mbal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…