Jinsi ya ku-bypass Nokia 1

Jinsi ya ku-bypass Nokia 1

gm man

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2017
Posts
1,177
Reaction score
1,455
Wakuu, naomba msaada ni njia gani naweza ku by pass hii simu inaitwa Nokia 1.

Nimepitia baadhi ya thread lakini naona bado hivyo naomba mwenye uelewa anisaidie ili niweze kutatua tatizo.
 
Upo wapi mkuu..
Kwa haraka hizo gharama unaweza kuweka kifurushi cha data,ukaingia youtube kujifunza ,zile video zinaonesha cha kufanya kwa kia hatua.
Natamani kuandika lakini inachukua muda sana kuiweka kwa mfumo wa maandishi ili usome na uelewe..

Ingia youtube search ku baypass iyo nokia 1..
ukimaliza hapo search ku remove frp kwa nokia 1
 
Upo wapi mkuu..
Kwa haraka hizo gharama unaweza kuweka kifurushi cha data,ukaingia youtube kujifunza ,zile video zinaonesha cha kufanya kwa kia hatua.
Natamani kuandika lakini inachukua muda sana kuiweka kwa mfumo wa maandishi ili usome na uelewe..

Ingia youtube search ku baypass iyo nokia 1..
ukimaliza hapo search ku remove frp kwa nokia 1
Sawa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom