Jinsi ya ku root simu yako ya Android

tumia hii link

How To root Nokia X / Nokia XL & install Google Apps
 
Daah bdo inakataa kusoa yan ilikubali mra moja tuu ilipo miss ndo mpaka sasa tangu mda ule uliponielekeza yan nimechk hoi[emoji19]
 
Daah bdo inakataa kusoa yan ilikubali mra moja tuu ilipo miss ndo mpaka sasa tangu mda ule uliponielekeza yan nimechk hoi[emoji19]
jaribu kubadili cable au chomeka hio cable kwenye port nyengine ya hio pc
 
Msaada wa kuroot phntom mini z
Habari njema kwako uneataka ku root smartphone yako, mi nimefanikiwa ku root smartphone yangu bila matatizo, fuata njia hizi
1.fahamu cm yako ni android version ipi nenda kwenye settings >about
2. tumia apps kama kingo root ama iroot
3.hakikisha una download app ya ku root moja kwa moja bila kuhusisha computer
4. Ukifanikiwa hizo steps enjoy cm yako ikiwa ime root
 
ok faida za kuroot na mm nimeziona
wala watu wasukutishe
kuna faida ningi ukisharoot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…