tumia hii linkMm yangu ni nokia xl dual sim rm-1030 je naweza kuiroot na kuinstall google play maana nikifata procedure ya xda kuroot kwa frama root yaan bila computa inagoma kuroot pia nikitumia computa nikiconnect simu yangu inashindwa kusoma kwenye manager ya kwenye pc inakuwa inaload tuu mda wote naomba msaada nn tatizo ?
driver hunanimeangalia hiyo ila tatizo hii simu niki connect kwenye pc haisomi ndo nashidwa kuelewa
jaribu kubadili cable au chomeka hio cable kwenye port nyengine ya hio pcDaah bdo inakataa kusoa yan ilikubali mra moja tuu ilipo miss ndo mpaka sasa tangu mda ule uliponielekeza yan nimechk hoi[emoji19]
Kama unajua unachotaka kukifamya tafuta google kingroot v 4.8.0Msaada jinsi ya kuroot tecno boom j7
I have succededKama unajua unachotaka kukifamya tafuta google kingroot v 4.8.0
Mkuu naomba nielekeze na mimi ninayo tecno boom j7I have succeded
Enjoy...I have succeded
Habari njema kwako uneataka ku root smartphone yako, mi nimefanikiwa ku root smartphone yangu bila matatizo, fuata njia hiziMsaada wa kuroot phntom mini z