Jinsi ya kuacha kuvuta sigara (A Guide to Quitting Smoking)

Jinsi ya kuacha kuvuta sigara (A Guide to Quitting Smoking)

Ubaya wa majani pombe inakukataa maisha yako yote. Nilivuta ganja nikashangaa hata bia 3 siwezi kunywa wakati nilikuwa namaliza kreti kwa siku
Ndivyo ilivyo..stem ya 'kipipi' haitaji any disturbance kwa brain.

Muhimu muda ukifika wa kuji'commit' kuacha kila aina ya ulevi inakuwa ni rahisi zaidi.
 
Mbona simpo tu..

Anza kutumia bangi then fegi unaipotezea taratibu huku ukiendelea kula mjani...
Nilijaribu kaka lakini ilikua inanichanganya nikashindwa kutumia nilijaribu Kama Mara 5 iv inanifanya nipoteze kumbukumbu yan nikiitumia bas nicwe na kaz yoyote nishnde nmelala na nanyongonyea sana
 
NB: nimekwambia uanze kutumia bangi kwa maana mazingira ya kuacha bangi ni rahisi zaidi kuliko hayo masigara!


Wewe umeacha kuvuta mjani??!!, sio bure unataka kumtosa mwenzako mazima (total destruction). Bangi sio mchezo kama ubongo wako ni weak basi utapata uchizi within no time.

Ninao mfano hai kwa dogo mmoja wa karibu yangu he is now a damn mad kwa ajili ya hiyo kitu "cali weed".
 
Wewe umeacha kuvuta mjani??!!, sio bure unataka kumtosa mwenzako mazima (total destruction). Bangi sio mchezo kama ubongo wako ni weak basi utapata uchizi within no time.

Ninao mfano hai kwa dogo mmoja wa karibu yangu he is now a damn mad kwa ajili ya hiyo kitu "cali weed".
Kichwa na kichwa ,mtu na mtu.

Ajaribu ataona mafanikio!
 
Nilivuta sigara for 10 years.
Winston light.
Nimeacha kama 3years ago.
I hate that experience
 
habari wanajamvi Mimi ni kijana mtumishi katika kada ya afya miaka 6 ilopita niilingia ktk matumizi ya pombe na sigara kimasihara tu(peer pressure) though athari zake nazitambua ilifika mda nikakubuu sikuipenda ile hali coz ilibadilisha life style yangu nilianza mkakati wa kupambana kuviacha nashukur mungu pombe niliiacha totally japo ckutumia nguvu Sana upande wa sigara nmetumia gharama Sana ili niache nimetumia dawa mbali mbali na mbinu mbalimbali nazoshauliwa lakini cjaweza kabisa tafadhali jamani naombeni msaada wenu Kama Kuna aliye liweza hili anipe msaada.!

N.B swala la kupunguza kidogo kidogo ni uongo nahitaji dawa ya kucha on point.
Mshirikishe Mungu katika maamuzi..yako acha kwania huku ukimuomba Mungu akupe nguvu ya kushinda katika hili... Mimi hi Ndo imenisaidia.
 
Hata Mimi nilivuta bangi... Nikapoteza kazi na kila kitu...nikachanganyikiwa nikarudi home ... Pona yangu Ni mirembe ambapo natumia Dawa Hadi hii leo.. lakini Nashukuru Mungu nafanya kazi na sijachanganyikiwa huu mwaka wa pili...

Bangi sio ya kumshauri mtu.


Pole sana mkuu.
 
Wasalaam wakuu,

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu nimekua ni mtumiaji wa sigara kwa muda wa miaka 6 sasa. Je nifanyaje au nitumie nini ili kupunguza athari za hii kitu.

NB: Nimeshajaribu njia zote za kuacha imeshindikana...
 
sigara na punyeto hazina tofauti ee mola nisaidie.!

wadau nahitaji mchango wenu.

nb. nime anza kupunguza kwa siku 1
 
Mkuu vyote kwa pamoja unatumia. (Sigara & Nyeto)

Anza na sigara mkuu kuacha.
 
Sigara kuacha haiitaji dawa wala dua ni makusud thabiti ya kuipuuza na kuidharau unaooamua tu kuiacha,maana haikuiti ukainunue ila unaiendekeza kuifata fata,ukitaka kuacha we acha tu bila kujiuliza mara mbili.. Niliandika uzi huku wa kuacha sigara mpk leo sijavuta na ninakaa na weng wanaovuta lakin walaaa sina mzuka. Ni maamuz thabiti tu na kujitambua
 
Mkuu sigara ni jini nimepunguza kutoka 5 per day mpaka 1. nyeto mwezi 3 nimeacha
 
Mimi nilikua mvuta sigara tangu Niko form 2 ila Sasa Nina miaka sita nimeacha!
Kuna mzee aliacha akanipa mbinu hii Kila wakati ukiwa na hamu ya kuvuta sigara mumunya pipi Kali

Hii ilinipelekea kuacha sigara Sasa hivi nikiona mtu anavuta sigara namuona Kama mtu ana hatarisha maisha yake
 
Ahsanteni wote kwa michango ya maana sana ya kuacha kuvuta.

Naomba tu nimweleze huyo bwana mvutaji; hivi utajisikiaje, kumuona mkeo au mwanao wako Ocean Road wakichomwa mionzi ya saratani, kwa ajiri ya moshi wa sigara yako? Utajisikiaje kumuona mwanao amelala kitandani Ocean Road, wakati matibabu yote yameshindikana, anakata roho akiwa na maumivu makali sana ya saratani, anakulilia kwa maumivu?
Moshi wa tumbaku humuathiri asiye vuta vile vile kama mvutaji; kutegemea na nguvu za mwili, anayevutishwa anaweza akawahi kuugua/kufa akamwacha mvutaji aliyemsababishia madhara! Kama huwezi kuacha kwa ajiri yako mwenyewe, basi acha kwa ajiri ya wale uwapendao!
 
Wazeee nilianza kimasihara masihara sasa naona embassy inanikolea has a!!!nilikuanajifariji kuwa nitaacha sasa naona nashindwa!!! Wife kapiga keleleeee kachemka sasa naombeni ushauri watanzania wenzangu!!!embasy inanizidi nguvu jamani!!! Hasa nikiwa nakunywa kasafari kabarid hamu inanizidi wazeee !!! Msaada jamani
 
Back
Top Bottom