Jinsi ya kuacha kuvuta sigara (A Guide to Quitting Smoking)

Jinsi ya kuacha kuvuta sigara (A Guide to Quitting Smoking)

Mimi nliamua ku switch kwenda sigara dawa. Nina zaidi ya miez 8 sijawah kuvuta enye iko na filter
Upande huu alosto hakuna kabsa. Nko mbioni kutemana.
Lakn katika kitu ngumu n kuacha
 
Unatakiwa uwe unapunguza kiwango kila baada ya muda fulani..
Mfano....

Day 1... vuta 10

Day 4...vuta 7

Day 7...vuta 4

Day 11...vuta 3

Day 15....vuta 1

Then ishi hapo kwa muda kama wiki.. Taratibu utakua unaanza kuacha ila kwa pupa huwezi kuacha gafla man
 
Uache umuachie nani mkuu,sisi peke yetu bila wewe hatuwez kuzimaliza dukani.....
Plz plz plz usipotelee mwisho
 
Jinsi ya kuacha kuvuta sigara
Sigara unatakiwa kuacha "coldturkey" yaani papo kwa hapo. Hautakiwi kupunguza kidogo kidogo. Utapata shida mwanzoni lakini ukishafikisha siku 14 mpaka 30 bila kuvuta, ile hamu ya sigara inakuwa imeshapotea mwilini mwako.
 
Jinsi ya kuacha kuvuta sigara
1: Kukata shauri la kuacha kuvuta toka ndani yako.

2: Epuka vishawishi vinavyokusababisha uvute.

3: Kuna chewing gum ambazo zina nicotine kwa kiasi kidogo. Ambazo hutumika kupunguza hamu, kiasi cha kuanzia hutegemea na kiasi cha sigara kwa siku ulichokuwa unavuta vs urefu wa muda uliotumia kimaisha. Hivyo, unaenda ukipunguza kiasi cha gums kadri muda unavyoenda na mwisho kuacha kabisa bila madhara.
 
Mimi nliamua ku switch kwenda sigara dawa. Nina zaidi ya miez 8 sijawah kuvuta enye iko na filter
Upande huu alosto hakuna kabsa. Nko mbioni kutemana.
Lakn katika kitu ngumu n kuacha
mkuu sigara dawa bei ya jumla tunauza... Nitafutie wateja huko ulipo
 
1: Kukata shauri la kuacha kuvuta toka ndani yako.

2: Epuka vishawishi vinavyokusababisha uvute.

3: Kuna chewing gum ambazo zina nicotine kwa kiasi kidogo. Ambazo hutumika kupunguza hamu, kiasi cha kuanzia hutegemea na kiasi cha sigara kwa siku ulichokuwa unavuta vs urefu wa muda uliotumia kimaisha. Hivyo, unaenda ukipunguza kiasi cha gums kadri muda unavyoenda na mwisho kuacha kabisa bila madhara.
Asante mkuu je izo chewing gum zinaitwaje
 
Ukitaka kuacha kwa uhakika, maamuzi yatoke moyoni mwako; useme sasa basi!

Utapata shida mwanzoni, ila kama umekata shauri utashinda! Epuka kukaa na wavutaji. Fanya mazoezi, kichwa kikiuma meza panadol. Jaribu kufikiria magonjwa yote yanayoletwa na sigara/tumbaku, kansa, moyo, kisukari, mapafu, kupunguza nguvu za kiume, nk., hiyo ikupe nguvu ya kuacha.
 
Katak Hali ya kushanga asbh Leo nimefatwa na mwanamke mmoja Kuja kwangu kuniomba animtafutie mganga anaweza kumdhibiti mumeo ambae hz Sasa Ni mvuta bangi ,qmesema ameshindwa kbsa ameongeza nae jamaa aelewi kbsa swala kuacha bangi

Mm binafsi nimeongea na huyu kijan kabila la kikurya na kumuonya juu ya ufutaji wake wa bangi na sigara ,Jana tu nilimuokoa akinusuruki kudhalilishana kwa kushindwa kulipa madeni ya watu hali iliyo pelekea mdai kutaka kuchukua vifaa vyake vya Kaz ,

Je anayejuwa dawa ya kuacha bangi na sigara
Binti Ni kadogo dogo maskini jamaa kamsalisha mtoto mmoja wa miez tatu hivi SAS lkn ndio kifuta bangi hatari
 
Nimeishia uliposema mfuta bangi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bangi nikatika mimea mitakatifu sana ya kiroho..shida inakuja vijana wengi hawana maarifa yakutosha katika matumizi yake.
Hivo imepelekea walio wengi kuwarusha Akili zao.
Binafsi kama mwalimu wa meditation bangi nikatika mmea mtakatifu sana unao kuwezeshaa katika mchakato wa tafakuri ya kuelekea kufungua mageti ya ulimwengu wakiroho.
Nachoweza kukusaidia nikwamba aje kuonana namimi ni ntampa msaada wakuondokana na uraibu wa uvutaji kupita kiasi.
 
Mambo ya kufuta tena!??Wachaga bhana,ene wei huyo Jamaa mnataka aache bangi sababu anatapeli watu na halipi?Unataka kuniambia na udokta wako unadhani utapeli unasababishwa na bhangi?
Utapeli ni tabia
Bangi inapata bad rap sababu Kuna mbuzi wenye tabia zao za ajabu na wanavuta bhangi.
Kama mambo yote ya kipuuzi yanasababishwa na bhangi basi sisiem watakuwa wavuta skanka namba 1
 
Hatuwezi kuacha sigara zipo nyingi Sana madukani mpaka zinatuzidia hata hivyo wavutaji inabidi tuongezeke
 
Katak Hali ya kushanga asbh Leo nimefatwa na mwanamke mmoja Kuja kwangu kuniomba animtafutie mganga anaweza kumdhibiti mumeo ambae hz Sasa Ni mvuta bangi ,qmesema ameshindwa kbsa ameongeza nae jamaa aelewi kbsa swala kuacha bangi

Mm binafsi nimeongea na huyu kijan kabila la kikurya na kumuonya juu ya ufutaji wake wa bangi na sigara ,Jana tu nilimuokoa akinusuruki kudhalilishana kwa kushindwa kulipa madeni ya watu hali iliyo pelekea mdai kutaka kuchukua vifaa vyake vya Kaz ,

Je anayejuwa dawa ya kuacha bangi na sigara
Binti Ni kadogo dogo maskini jamaa kamsalisha mtoto mmoja wa miez tatu hivi SAS lkn ndio kifuta bangi hatari
hii kitu ni hatari sio poa now najuta kwa kuanza ulikua funny now hata sijui naachaje
 
Back
Top Bottom